Sapoti ya media anaipata sana, anashindwa mwenyewe tuIli ngoma i-hit, kuna mambo mengi nyuma ya pazia. Kurekodi ni upande mmoja wa shilingi. Upande wa pili ndo business mind! Kujuana, ushkaji na mapresenter, kuhonga airtime, Kiki, ufuatiliaji wa msanii, interview s n.k...kwa hiyo...Kuwa na kipaji hakutoshi...hapo ndo wanapotofautiana
Hizo ngoma zilisikika tu, hazikuhit. Wanaozijua ni wafatiliaji wa muzikiLabda umeanza kufuatilia muziki juzi!! Way back alikuwa na ngoma yake inaitwa "bado muda kidogo" ft. JCB Makalla and Chindo umbwa! Na nyingine iliitwa "right here" fr. Banx na Chindo!! Aysee hizo ngoma zilihit sana!! Ipo na mama yoyoo na ile OG
Mbona Drake anafanya hivyo ila anafanbase konki dunianiKingine, Gnako anaimbaga tu bila target market maalumu...this time yuko hivi, akija na wimbo mwingine yuko vile .. si kitu kibaya, lakini kinampunguzia ile mashabiki kindakindaki...afu anakosa identity..huwezi jua jamaa ni rapper au muimbaji kisa hiyo mediocrity yake.
Bora tu uamue; mimi nafocus soko la wadada, imba mambo yao mwanzo mwisho. Au mimi na masela, fanya kazi upate masela wa kutosha.
Nadhani pia ifike mahala jamaa atumie maneno ya 'kienyeji'... kwenye nyimbo zake za kuimba imba...anavyofanyaga utunzi wa kihiphop kwenye nyimbo zake za kuimba anawachanganya tu mashabiki wa aina hiyo ya muziki ambao wengi ni akili nyepesi na hawapendi kuumiza vichwa.Sapoti ya media anaipata sana, anashindwa mwenyewe tu
Yupo weusi mbona, hukumsikia kwenye wapoloo na hizi ngoma mbili mpya?namwelewa sana huyo kiumbe sana hapo kati alijiharibia kwa yale maskendo na matuio ya ajabu but toka miaka ile yupo poa sana na ile sauti yake ni hatari, akijipanga akapata ingia WEUSI inaweza mbeba zaidi japo si lazima kuwa huko
Hitsong inaonekana mtaani sio kwenye charts za Redio. Mfano 'Iokote' ya Maua Sama hata kama usikilizi Redio unaijua tu, kwasasa kuna huu wimbo wa Marioo 'Chibonge', wimbo kama huo lazima uujue hata usipokuwa na Redio, hiyo ndo maana ya hitsongArosto ni ya nani vile?
Hii ngoma ili hit sana ilishika namba moja kwenye radio station nyingi tu.
Ratio ina matter mkuu..Mbona Drake anafanya hivyo ila anafanbase konki duniani
Mkuu lucky me mbona ili hit fresh tuGNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
Kuna nyingine moja nadhani yupo na reekado bank inaitwa "move" bonge moja la pini.Hauko serious mkuu.
No body but me.
Come over
Closer
N.k
Kwasababu alisema UKIMLETEA BOYA ANAMFUA HATA KAMA ANA MAFUA?Huyu simjui, ila namfahu Lord Eyes, Ibra da hustler.
Kuna verse moja Lord Eyes anasema " UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA NINA MAFUA"
Sijawahi kuona Hip hop artist kama huyu jamaa kwa hapa Tz. Namkubali sana. Ingawa naona amerudi kwenye game na anafanya vizuri mfano Wimbo wa WEUSI unaitwa SHOW TIME ameimba vizuri sana na yule jamaa mwembamba mwenye suit ya Maruni.
Unaijua mama yeyoo? Gnako ft Ben pol yule jamaa anaweza kusimama peke yake sema ndo ivo ushkaj mwingiAkijitenga na Weusi ndo amejimaliza, hana uwezo wa kusimama Solo, mtu pekee mwenye uwezo wa kusimama Solo ni Joh Makini
Hapa nilipo nina mafua ukinipa kipaza nakamuaHuyu simjui, ila namfahu Lord Eyes, Ibra da hustler.
Kuna verse moja Lord Eyes anasema " UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA NINA MAFUA"
Sijawahi kuona Hip hop artist kama huyu jamaa kwa hapa Tz. Namkubali sana. Ingawa naona amerudi kwenye game na anafanya vizuri mfano Wimbo wa WEUSI unaitwa SHOW TIME ameimba vizuri sana na yule jamaa mwembamba mwenye suit ya Maruni.
Mnhh..!!!Hizo zote hapo hakuna hitsong hata moja mkuu! Mara mia Maua Sama ana ngoma kama iokote ni hitsong, ila hizo zote hazijawah kufikia kua hitsong
"UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA ANAKIFUA/HAPA NILIPO NINA MAFUA,UKINIPA KIPAZA NAKAMUA"Huyu simjui, ila namfahu Lord Eyes, Ibra da hustler.
Kuna verse moja Lord Eyes anasema " UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA NINA MAFUA"
Sijawahi kuona Hip hop artist kama huyu jamaa kwa hapa Tz. Namkubali sana. Ingawa naona amerudi kwenye game na anafanya vizuri mfano Wimbo wa WEUSI unaitwa SHOW TIME ameimba vizuri sana na yule jamaa mwembamba mwenye suit ya Maruni.
Mama Yeyoo,,Original......hizo ni moja ya hit songs zakeGNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
Ni ya G mzeeeArosto ni ya nani vile?
Hii ngoma ili hit sana ilishika namba moja kwenye radio station nyingi tu.
ile audio ambayo yupo Hanstone ushaisikia?? kama bado fanya kuisikiliza halafu uje na majibu mapya"Chibonge" ameubeba sana wimbo huu.