weusi mkuu inawatu wanne tu, akifanyakazi labda kushirikishwa, pia kumbuka pale alifukuzwa kutokana na tabia ambazo kampuni ya weusi waliona zinawachafukiaYupo weusi mbona, hukumsikia kwenye wapoloo na hizi ngoma mbili mpya?
Mkuu tupo pamoja kabisa, Vanesa Mdee sjui anaimba nin, Maua sama ni mashine sema bas tu anakosa mkono mrefu na sio mpenz wa kuuza ngadaIla msanii ambae namuona kama anababisha tu kwenye game la music kwa mimi nnavyoona ni Vanesa Mdee, hajawah toa hitsong hata moja
Originally alitoa baba ako?GNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
Umelitia aibu taifa kwa comment yako.Ila msanii ambae namuona kama anababisha tu kwenye game la music kwa mimi nnavyoona ni Vanesa Mdee, hajawah toa hitsong hata moja
Maua sama ana hit nyingi, mahaba Niue, sisikii,Hitsong wala hauitaji kuingia youtube uijue! Hitsong ni utaijua tu hata kama sio msikilizaji wa music.
Ipi kati ya hizo ina sifa ya kuitwa hitsong?
We jamaa muongo sana..weusi mkuu inawatu wanne tu, akifanyakazi labda kushirikishwa, pia kumbuka pale alifukuzwa kutokana na tabia ambazo kampuni ya weusi waliona zinawachafukia
Kweli aise!mama yeyooo sio hitsong?
kweli mie muongo, ukweli ni upi?We jamaa muongo sana..
Uko mbali na mziki wakeIla msanii ambae namuona kama anababisha tu kwenye game la music kwa mimi nnavyoona ni Vanesa Mdee, hajawah toa hitsong hata moja
Umeshawahi kusikilizs Me & You - Vanessa Mdee ns Ommy Dimpoz? Na kula ule wimbo aliimba na Barnaba ulitokaga 2015 sikumbuki jina Vanessa hakika ameshawahi toa hit songs kadhaaIla msanii ambae namuona kama anababisha tu kwenye game la music kwa mimi nnavyoona ni Vanesa Mdee, hajawah toa hitsong hata moja
tatizo ni mapenzi ya mtu,na inawezekana yeye si mpenzi wa aina ya mziki wa vanesa so hawezi ona ka ni mzuri,check kaUmeshawahi kusikilizs Me & You - Vanessa Mdee ns Ommy Dimpoz? Na kula ule wimbo aliimba na Barnaba ulitokaga 2015 sikumbuki jina Vanessa hakika ameshawahi toa hit songs kadhaa
Bila kumsahau bwana wake jux nae walewale tuIla msanii ambae namuona kama anababisha tu kwenye game la music kwa mimi nnavyoona ni Vanesa Mdee, hajawah toa hitsong hata moja
Mifano uliyotoa haifanani, dully na necha wana hit songs za kutosha, labda q j ndio alikuwa mtaalam wa korasi bila kuwa na nyimbo kaliGnako ni chorus killer kama walivyokua kina Dully sykes na Juma nature, ila akitoa ngoma yake yeye kama yeye huwa hazihit sijui anakwama wapi