Kwanini G-NAKO hajawahi kutoa HITSONG?

Kwanini G-NAKO hajawahi kutoa HITSONG?

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
GNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
 
Islamabad ndicho kitongoji alichozaliwa.
Huyu simjui, ila namfahu Lord Eyes, Ibra da hustler.

Kuna verse moja Lord Eyes anasema " UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA NINA MAFUA"

Sijawahi kuona Hip hop artist kama huyu jamaa kwa hapa Tz. Namkubali sana. Ingawa naona amerudi kwenye game na anafanya vizuri mfano Wimbo wa WEUSI unaitwa SHOW TIME ameimba vizuri sana na yule jamaa mwembamba mwenye suit ya Maruni.
 
G Nako kati ya ma-rap wakali sana in da game ya TZ,, jamaa inabidi awe solo artist kwanza,, tatizo alonalo ni ushkaji mwingi,, mda mwingine inabidi ujitenge na wana ili usimame ww kama ww,, mm ni fans wake tokea enz za n2n, zile ngoma zao,, kuna mda flani kama alijitenga na group akawa anapga biznes zake,, akaja kurudi ktk ile We ndo mchizi wangu,,, pale napo ibra akaanza kunyuti na group,, na akapotea kabisa,, badae naye Lord naye madawa sanaa, kundi likayumba ndo mwanzo wa kutokea hili la Weusi,,, ila gnako anauwezo ila ndo vile asimame peke yake,,, alafu alainike kidogo ili kuendana na kasi kama za WASAFI,, ampe ft Diamond uone moto,,, basi tu watoto wa chugga nao mda mwingine waache vitu vyao vile cha-arusha,,
 
G Nako kati ya ma-rap wakali sana in da game ya TZ,, jamaa inabidi awe solo artist kwanza,, tatizo alonalo ni ushkaji mwingi,, mda mwingine inabidi ujitenge na wana ili usimame ww kama ww,, mm ni fans wake tokea enz za n2n, zile ngoma zao,, kuna mda flani kama alijitenga na group akawa anapga biznes zake,, akaja kurudi ktk ile We ndo mchizi wangu,,, pale napo ibra akaanza kunyuti na group,, na akapotea kabisa,, badae naye Lord naye madawa sanaa, kundi likayumba ndo mwanzo wa kutokea hili la Weusi,,, ila gnako anauwezo ila ndo vile asimame peke yake,,, alafu alainike kidogo ili kuendana na kasi kama za WASAFI,, ampe ft Diamond uone moto,,, basi tu watoto wa chugga nao mda mwingine waache vitu vyao vile cha-arusha,,
Akijitenga na Weusi ndo amejimaliza, hana uwezo wa kusimama Solo, mtu pekee mwenye uwezo wa kusimama Solo ni Joh Makini
 
GNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
Si kweli mkuu, kuna wimbo alimshikisha Ben Paul ipo miundo ya reggae ngoma kali sana, mama yoo yooo
 
We jamaa ni muosha vikongwe nini? Umesema hujawahi ona mwana hip hop kama huyo alafu wakati huo huo unasema tena anaimba vizur hivi mwana hiphop anaimba?
Huyu simjui, ila namfahu Lord Eyes, Ibra da hustler.

Kuna verse moja Lord Eyes anasema " UKINILETEA BOYA NAMFUA HATA KAMA NINA MAFUA"

Sijawahi kuona Hip hop artist kama huyu jamaa kwa hapa Tz. Namkubali sana. Ingawa naona amerudi kwenye game na anafanya vizuri mfano Wimbo wa WEUSI unaitwa SHOW TIME ameimba vizuri sana na yule jamaa mwembamba mwenye suit ya Maruni.
 
GNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana na kina Joh Makini na Nikki2 kuunda kundi la WEUSI. Katika career yake ameshiriki katika hitsong nyingi sana za N2N, WEUSI na za kushirikishwa na wasanii wengine, na pindi akishirikishwa hakika huzitendea haki nyimbo hizo kiasi kwamba huonekana amezibeba. Pamoja na hayo yote cha ajabu huyu jamaa hajawahi kutoa wimbo wowote ambao it worth kuitwa 'hitsong'. Nikiangalia machorus killer wenzake waliowahi kutokea kwenye bongofleva kama Juma Nature, Dully Sykes, Qchillar, Belle9, Ben Paul, n.k walikuwa wakizitendea haki pia nyimbo zao, ila jamaa yangu GNako nyimbo zake hazieleweki. Hakika yeye ndio mnufaika mkubwa wa uwepo wa kundi la WEUSI, kwa maana ameprove kwamba hawezi kusimama yeye kama yeye. Hebu tumjadili kidogo anakwama wapi? Au ndo ananyota ya mshumaa kumulikia wenzake?[emoji54][emoji56]
mama yeyooo sio hitsong?
 
Back
Top Bottom