Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mapito ya wazazi majina ya watoto, Dah.....kuna wazazi wanatoa majinq ya ajabu sana mtu anajiita sheta kumbe kirefu ni shetani alooooh
kabsa mtoto anaitwa vuvula dah kisa babaake kipindi madee anatoa nyimbo ya vuvula alikua anaikubali na ndo mtoto akazaliwa akampa hilo jinamapito ya wazazi majina ya watoto, Dah.....
Mizimu haionekani kwenye thermor infraredYatakuwa yanaona mizimu
Philadelphia experiment ilikua around 1940s, Tesla ilikuwepo?Sijaisikia hiyo habari.
Lakini Tesla alikuwa moto wakuotea mbali.
Ile so- called Philadelphia experiment ambapo meli ilitoweka kutoka kwenye bandari moja ikatokea pengine,ilikuwa kazi ya Tesla. Ila Tesla aliwekwa pembeni kwa sababu alisema utafiti haujakamilika,it is too dangerous.
Wakamwambia kama kuna hatari tutaendelea na experiment lakini tutatafuta "volunteer" sailors.
Unajua matatizo ya jeshi: "We want volu teers. You and you and you,you are going to be volunteers"
Ultrasonic sensor zinatumia Infrared radiation ku sense warm object. Mwili uliokufa ni baridi.Ili jambo linazidi kufichwa sana ila litakuja kujitokeza kwenye magari ambayo kwa sasa ndio teknolojia inataka.mfano gari za tesla zimelalamikiwa sana kuwa zinaona watu ambao hawa onekani wakiwa wanapita,tambua mfumo wa gari za tesla una sensa kali.
Mfumo wa tesla unaweza kuona magari na ramani kwa ujumla ili kusaidia gari inapotaka kujiendesha yenyewe ukitaka.
Mfano
View attachment 3013606
Tesla alikuwa mtu na nusu!Sijaisikia hiyo habari.
Lakini Tesla alikuwa moto wakuotea mbali.
Ile so- called Philadelphia experiment ambapo meli ilitoweka kutoka kwenye bandari moja ikatokea pengine,ilikuwa kazi ya Tesla. Ila Tesla aliwekwa pembeni kwa sababu alisema utafiti haujakamilika,it is too dangerous.
Wakamwambia kama kuna hatari tutaendelea na experiment lakini tutatafuta "volunteer" sailors.
Unajua matatizo ya jeshi: "We want volu teers. You and you and you,you are going to be volunteers"