Kwanini gari za tesla ukifika makaburini zinaona kuna watu wakati hakuna watu?

Kwanini gari za tesla ukifika makaburini zinaona kuna watu wakati hakuna watu?

Sijaisikia hiyo habari.
Lakini Tesla alikuwa moto wakuotea mbali.
Ile so- called Philadelphia experiment ambapo meli ilitoweka kutoka kwenye bandari moja ikatokea pengine,ilikuwa kazi ya Tesla. Ila Tesla aliwekwa pembeni kwa sababu alisema utafiti haujakamilika,it is too dangerous.
Wakamwambia kama kuna hatari tutaendelea na experiment lakini tutatafuta "volunteer" sailors.
Unajua matatizo ya jeshi: "We want volu teers. You and you and you,you are going to be volunteers"
Philadelphia experiment ilikua around 1940s, Tesla ilikuwepo?
 
Mimi niliweka sensa kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani, bwana wee saa nyingine ulikuwa unajifungua ata kama hakuna mtu. Kuna siku mtoto wa dada angu ana miaka miwili akasema kuna watu wawili wameingia ndani halafu wakati huo mlango umejifungua na sisi hatuoni mtu halafu dogo kakomalia kuna watu wanawake wameingia wameenda moja kwa moja chumbani hahahah siku ya pili nikamuita fundi wakaja kuitoa sensa. Chezea viumbe visivyoonekana wewe!
 
Ili jambo linazidi kufichwa sana ila litakuja kujitokeza kwenye magari ambayo kwa sasa ndio teknolojia inataka.mfano gari za tesla zimelalamikiwa sana kuwa zinaona watu ambao hawa onekani wakiwa wanapita,tambua mfumo wa gari za tesla una sensa kali.

Mfumo wa tesla unaweza kuona magari na ramani kwa ujumla ili kusaidia gari inapotaka kujiendesha yenyewe ukitaka.

Mfano
View attachment 3013606
Ultrasonic sensor zinatumia Infrared radiation ku sense warm object. Mwili uliokufa ni baridi.

Kama hiyo taarifa ina asilimia 100 ya ukweli basi tujiandae kustaajabu.
 
Sijaisikia hiyo habari.
Lakini Tesla alikuwa moto wakuotea mbali.
Ile so- called Philadelphia experiment ambapo meli ilitoweka kutoka kwenye bandari moja ikatokea pengine,ilikuwa kazi ya Tesla. Ila Tesla aliwekwa pembeni kwa sababu alisema utafiti haujakamilika,it is too dangerous.
Wakamwambia kama kuna hatari tutaendelea na experiment lakini tutatafuta "volunteer" sailors.
Unajua matatizo ya jeshi: "We want volu teers. You and you and you,you are going to be volunteers"
Tesla alikuwa mtu na nusu!
 
Back
Top Bottom