Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu
Ndio maana nimesema kinacho endelea gaza sio battle bali ni upuuzi na wendawazimu.

Kinacho endelea gaza ni mauaji ya makusudi kabisa kama yaliyo fanywa na Hitra dhidi ya wayahudi au mauaji ya kimbali nchini Rwanda.
 
Ww **** kama huna la maana la kuandika usiwe una shobokea comment zangu.
Kama kundu lako linakuwasha sana chukua kijiga cha moto jichomeke ili muwasho ukuishie pumbavu.
Taratibu ustaadh, matusi ya nini!?
Vilevile mlivyosherehekea tarehe 7 ndo mnapaswa kusherehekea now.
 
Taratibu ustaadh, matusi ya nini!?
Vilevile mlivyosherehekea tarehe 7 ndo mnapaswa kusherehekea now.
Usiniletee nyege mm sina muda na kundu lako kwanza linanuka.
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.

Poleni sana,bado hamjasema
 
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia.
Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.
Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.
Katika kukamilsha .
Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut.Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.
Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.
Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo
Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.
Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.
Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.
Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.Kwa maana vita vitakapomalizika kwa kushindwa Israel kufikia malengo ya wazi waliyoyataja basi binadamu wote watajua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye nguvu na mshindi wa mwisho.
Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.
Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.

Vifo vimefika 9k mwaka huu gaza itakua parking ya magari.
 
Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu

Hao watoto na wanawake ndio human shield ya magaidi wa hamas,raia wema wote waliahaondoka gaza mana walijulishwa,waliobaki hapo ni magaidi na magaidi lazima yauwawe.
 
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia.
Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.
Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.
Katika kukamilsha .
Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut.Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.
Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.
Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo
Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.
Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.
Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.
Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.Kwa maana vita vitakapomalizika kwa kushindwa Israel kufikia malengo ya wazi waliyoyataja basi binadamu wote watajua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye nguvu na mshindi wa mwisho.
Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.
Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.
Hamas wana silaha hafifu , umewai kuwa mshika funguo wa maghala yao ya silaha?
 
Urusi inapigana kustaarab kwa kufuta taratibu zote za vita Israeli anaoiga tu ilimradai amepiga
huku ni kupigana kistaraab , ila ngozi nyeusi sijui nan aliwaroga?
images%20(3).jpg
 
Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu
Kapime akili , Hamas wenye uwezo wa kushambulia na kuua watu ndan ya israel unataka wafananisha na Tpdf?
 
Maoni yako yako vizuri sana.
Kwanza tukumbushe kuwa siku ya oktoba 7 Israel ilipigwa na kumewashangaza sana kwani waliamini kwa teknolojia waliyonayo hakuna mdudu atakayepenya.Vijana wa Hamas itakuwa waliweza kuudukua mfumo mzima wa mawasiliano wa Israel na siku ya tukio walianza kwa kuuzima kwenye maeneo ya kusini.Zaidi ya kuuzima kwa teknolojia za hack,vijana 10 kwenye pikipiki 5 waliingia ndani ya Israel kutokea kwenye mahandaki na wakaenda mpaka kwenye kituo cha mawasiliano ambacho kiko sehemu ya ulinzi mkali wakazibomoa kompyuta na kutenganisha nyaya.
Baada ya hapo ndipo mvua za makombora na kuvunja kuta za zege vilipoanza.Majenerali wa jeshi la IDF wa kusini na kaskazini walishindwa kuwasiliana na kujua kinachoendelea kwa takriban masaa 7.Walipata taarifa kutoka kwa wananchi juu ya walichokionaj ndipo wakaanza kujizoa zoa na kujipanga kuanza kujibu mapigo.
Muhimu ninachotaka kusema na kukuunga mkono ni kuwa binadamu tusiwe jeuri sana kwa kujiamini na hizi teknolojia ambazo ni kuwezeshwa na Mwenyezi Mungu.ilikuwa binadamu wazitumie vyema kutengeneza maisha ya akhera yao
Ukitumia vibaya neema za Allah s.w basi ni mara moja kukunyang'anya au kuwapa wengine teknolojia kuliko uliyonayo wewe.
Tunachoshuhudia Gaza kwa uhakika ni matumizi makubwa ya nguvu yasiyowahi kutumika kupiga watu dhaifu na hatimae hakuna ushindi kwa dhalimu isipokuwa ni kutumbukia shimoni kwa US na Israel mbele ya mcho ya walimwengu.
iron dome sio kama pazia bali inafanya kaz kwa kuendeshwa na watu
 
Hamas wana silaha hafifu , umewai kuwa mshika funguo wa maghala yao ya silaha?
Kuna silaha zenye nguvu kuliko makombora yanayorushwa kutoka kwenye ndege za kisasa za F16 yenye uwezo wa kulitifua gorofa kama karatasi.Na hiyo teknolojia ya kutengeneza vifaa hivyo si unajua wavaa kobazi bado hawana.
Itakuwa huna macho au hujaona ukali wa silaha za IDF
 
Kapime akili , Hamas wenye uwezo wa kushambulia na kuua watu ndan ya israel unataka wafananisha na Tpdf?
Nguvu za TPDF huwezi kufananisha na za Hamas.
TPDF wakisema Chadema watulie wanatulia.Lakini Hamas hata waliposema IDF wasiingie na wameingia.
Tusubiri tu tuone nguvu za IDF iwapo ni za kuendelea au vipi?
 
Ingekua ni sis ndio tunapigana na hamas ndio mngejua hamas wako strong namna gan wewe upigiwe rockets 5000 kwa dakika mwez mzima miji yote ingejaa magofu hebu tuache kuwaongelea hamas as if mnaongelea watu wenye serious disabilities ukweli lazima usemwe bila the iron dom Israel wangekua wanarepot vifo daily kama kipind Cha COVID 19
Hiyo iron dom unaijua wewe? Ina kazi gani? Imetoka wapi? Yakuhusu nini?
 
Propaganda
 

Attachments

  • 20231106_113046.jpg
    20231106_113046.jpg
    111.9 KB · Views: 3
  • 20231106_113016.jpg
    20231106_113016.jpg
    23.9 KB · Views: 2
  • 20231106_113003.jpg
    20231106_113003.jpg
    209.7 KB · Views: 2
  • 20231106_112946.jpg
    20231106_112946.jpg
    83.7 KB · Views: 2
Allah akbarr!!! Maustaadh wamechanganyikiwa kila sikunde ni thread na wanajijibu wenyewe allah akbarrr!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

7 oktoba mlifurahi kweli allah akbarr!!! mliongelea ushindi kwa allah!!! baada ya kubaka, kuua watoto, kuchoma watoto, kuteka na kila aina ya uovu mlioelekezwa kuwafanyia watoto.

Ukiua kwa upanga na wewe utauawa kwa upanga, hamkujua matokeo yake, leo hadi Misri, Jordan, Lebanon, Syria, Iran, nk, wamewatelekeza, moto mnaopata ni hatari, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zangu allah akbarr!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kila uovu wakifanya ni allah akbar huyu mungu wao wa ajabu sana.Kule ukraine nako ni allah akbar wakidai eti ukraine wangeukubali uvamizi wa urusi kuliko kumwaga damu.Sasa hivi mkia wao umeguswa wanawake na watoto wanatajwa.Allah yuko selective sana!
 
Hiyo iron dom unaijua wewe? Ina kazi gani? Imetoka wapi? Yakuhusu nini?
Unataka ilete common sense kwenye mambo ya fact bila Hilo zaga Israel kungekua magofu kitambo au hiki kichapo wanachopokea palestina saivi kingekua kinatokea kila baada ya rocket rocket kutua ,
 
Allah akbarr!!! Maustaadh wamechanganyikiwa kila sikunde ni thread na wanajijibu wenyewe allah akbarrr!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

7 oktoba mlifurahi kweli allah akbarr!!! mliongelea ushindi kwa allah!!! baada ya kubaka, kuua watoto, kuchoma watoto, kuteka na kila aina ya uovu mlioelekezwa kuwafanyia watoto.

Ukiua kwa upanga na wewe utauawa kwa upanga, hamkujua matokeo yake, leo hadi Misri, Jordan, Lebanon, Syria, Iran, nk, wamewatelekeza, moto mnaopata ni hatari, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zangu allah akbarr!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamekutana kwa thread wanajibizana na kutiana moyo maana ki uhalisia wameshajikatia tamaa na kinachoendelea Gaza.Mtu anawaita IDF mashoga na waoga wakati yeye panya road tu wakiingia mtaani kwake anakimbilia uvunguni mwa kitanda kujificha kwa uwoga.IDF na iheshimiwe sana acha iwasakanye hao Magaidi wa Hamas na iwapukutishe kama nzige wafilie mbali huko.
 
Kapime akili , Hamas wenye uwezo wa kushambulia na kuua watu ndan ya israel unataka wafananisha na Tpdf?
Haha waliposhambulia walisema Israel jeshi dhaifu sasa waache jeshi dhaifu wafanye udhaifu wao.
 
Propaganda
Ndiyo maana wanabatuliwa na mijaketi yao ya Press.Nilicheka kuna mmoja alikuwa anareport kifo cha reporter mwenzao.Alionekana kuwa na jazba akiwa Live anareport akavua ile bullet proof na kofia ngumu akavitupa kuwa havina maana bora areport akiwa hivyo hata akifa ni sawa tu.Akiwa anaendele kureport mara kitu kikashushwa na IDF umbali kadhaa kutoka alipokuwa,tuliisha kuona vumbi tu na akatoweka hewani,baada ya muda nadhani Aljazeera wakamrudia tena alikuwa anareport huku anahema kama kakimbizwa na jaketi ya press kaivaa tena na kofia ngumu huku akiwa kajaa vumbi la kutosha.
 
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia.
Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.
Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.
Katika kukamilsha .
Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut.Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.
Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.
Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo
Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.
Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.
Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.
Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.Kwa maana vita vitakapomalizika kwa kushindwa Israel kufikia malengo ya wazi waliyoyataja basi binadamu wote watajua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye nguvu na mshindi wa mwisho.
Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.
Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.
Unaleta udini
 
Back
Top Bottom