Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

Hivi mbona huwa mnawaongeleaga HAMAS kama watu wasio na uwezo wowote kivita?

Watu wenye uwezo wa kurusha roketi zaidi ya 5'000 kwa sekunde kadhaa, halafu wana uwezo wa kuchimba mahandaki makubwa mpaka yanatokezea Israel?
 
Akili zako ni finyu ustaadh, Gaza hakuna vita pale acheni kujidanganya misikitini, Gaza kinachoendelea pale ni msako wa magaidi walio kimbilia kujificha kwenye mashimo bwana😁😁😁😁😁😁

Sasa hiyo vita unaozungumzia wewe ustaadh, sisi wengine mbona hatuioni? Hamas hawapo wote walikimbilia kujificha mashimo, wakikimbia msako wa IDF, na hata nyie maustaadh mnakiri wanaouawa ni watoto na wanawake tu na mnalilia ceasefire😁😁😁😁😁😁
Sawa kafiri
 
Maoni yako yako vizuri sana.
Kwanza tukumbushe kuwa siku ya oktoba 7 Israel ilipigwa na kumewashangaza sana kwani waliamini kwa teknolojia waliyonayo hakuna mdudu atakayepenya.Vijana wa Hamas itakuwa waliweza kuudukua mfumo mzima wa mawasiliano wa Israel na siku ya tukio walianza kwa kuuzima kwenye maeneo ya kusini.Zaidi ya kuuzima kwa teknolojia za hack,vijana 10 kwenye pikipiki 5 waliingia ndani ya Israel kutokea kwenye mahandaki na wakaenda mpaka kwenye kituo cha mawasiliano ambacho kiko sehemu ya ulinzi mkali wakazibomoa kompyuta na kutenganisha nyaya.
Baada ya hapo ndipo mvua za makombora na kuvunja kuta za zege vilipoanza.Majenerali wa jeshi la IDF wa kusini na kaskazini walishindwa kuwasiliana na kujua kinachoendelea kwa takriban masaa 7.Walipata taarifa kutoka kwa wananchi juu ya walichokionaj ndipo wakaanza kujizoa zoa na kujipanga kuanza kujibu mapigo.
Muhimu ninachotaka kusema na kukuunga mkono ni kuwa binadamu tusiwe jeuri sana kwa kujiamini na hizi teknolojia ambazo ni kuwezeshwa na Mwenyezi Mungu.ilikuwa binadamu wazitumie vyema kutengeneza maisha ya akhera yao
Ukitumia vibaya neema za Allah s.w basi ni mara moja kukunyang'anya au kuwapa wengine teknolojia kuliko uliyonayo wewe.
Tunachoshuhudia Gaza kwa uhakika ni matumizi makubwa ya nguvu yasiyowahi kutumika kupiga watu dhaifu na hatimae hakuna ushindi kwa dhalimu isipokuwa ni kutumbukia shimoni kwa US na Israel mbele ya mcho ya walimwengu.
Hahahahaaaa vijana 10 walienda na pikipiki kwenda kuzima komputa za jeshi la israel. stori zingine unacheka tu na kuziacha zipite
 
Hao watoto na wanawake ndio human shield ya magaidi wa hamas,raia wema wote waliahaondoka gaza mana walijulishwa,waliobaki hapo ni magaidi na magaidi lazima yauwawe.
Mnasikitisha mnavyosema hivyo.
Toka hai raia wauliwe hakuna silaha Wala askari wa Hamas aliepatikana.
Israel ni taifa linaloua raia Ili kuleta hofu kwa wapinzani.
Hata Lebanon Leo wamelipua gari la wanafamilia wanne wakawaua papi hapo ukijiuliza wamelipua wanafamilia wasio na silaha kisa nn jibu hupati.
Hizbollah akajibu kwa kupiga military post 4 za IDF na kuua mtu mmoja askari 3 .
Israel vita hawezi ila huua raia Ili kuleta hofu kwa anaopigana nao.
 
Ni aibu jeshi kubwa kushindwa katika vita mpaka linapigana na matenki ya maji na solar panel
unajijua vita ya siku sita ? Hilo jeshi unalolibeza lilitandika nchi zote za kiarabu Misri, Jordan, Syria, Yemen, Iran ndani ya siku sita tu na kuwapokonya maeneo kama Golan, Sinai nk.

Sida ya Maarabu na mafuasi yao maislamu ni majinga majinga tu, mabishi bishi, maswahili na mapuuzi. Kama IDF (jeshi la Israel sio hodari, pmlmamazenu liliwezaje kuwafi*ra majeshi ya nchi zote za kiarabu kwa siku sita maarabu yakaomba vita isitishwe na kupokonywa maeneo yao ?! Stupid, idiotic, lazy ass terrorists.
 
Kweli kila teknolojia ina mapungufu na hakuna sababu ya kuiona Israel kama Mungu kwa kuwa teknolia ya hali ya juu,
Kama yalitunguliwa 5000 mbona mengi yalipenya na kuleta vilio miji kadhaa ya Israel mpaka mji mkuu Tel Aviv.
Huo udhaifu Hamas waliusoma na kuufanyia kazi.
Wakileta mpya watu wataisoma tena.Usicheze na binadamu aliyepewa akili na Mungu.Ukitaka uishi vizuri duniani heshimu majirani zako
yani Hamas wakishambulia mnashangilia wakitandikwa qmlamamazenu mnalalama
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Ni aibu jeshi kubwa kushindwa katika vita mpaka linapigana na matenki ya maji na solar panel
unajijua vita ya siku sita ? Hilo jeshi unalolibeza lilitandika nchi zote za kiarabu Misri, Jordan, Syria, Yemen, Iran ndani ya siku sita tu na kuwapokonya maeneo kama Golan, Sinai nk.

Sida ya Maarabu na mafuasi yao maislamu ni majinga majinga tu, mabishi bishi, maswahili na mapuuzi. Kama IDF (jeshi la Israel sio hodari, pmlmamazenu liliwezaje kuwafi*ra majeshi ya nchi zote za kiarabu kwa siku sita maarabu yakaomba vita isitishwe na kupokonywa maeneo yao ?! Stupid, idiotic, lazy ass terrorists.
 
Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu
Ni aibu jeshi kubwa kushindwa katika vita mpaka linapigana na matenki ya maji na solar panel
unajijua vita ya siku sita ? Hilo jeshi unalolibeza lilitandika nchi zote za kiarabu Misri, Jordan, Syria, Yemen, Iran ndani ya siku sita tu na kuwapokonya maeneo kama Golan, Sinai nk.

Sida ya Maarabu na mafuasi yao maislamu ni majinga majinga tu, mabishi bishi, maswahili na mapuuzi. Kama IDF (jeshi la Israel sio hodari, pmlmamazenu liliwezaje kuwafi*ra majeshi ya nchi zote za kiarabu kwa siku sita maarabu yakaomba vita isitishwe na kupokonywa maeneo yao ?! Stupid, idiotic, lazy ass terrorists.
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Nakazia
 
Wanaume wa Ukraine hawatumii raia kama.kinga
Alafu hawajifichi kwenye mahandaki Wala hospitalini, makanisani nk wao wako Frontline tena Wana uniform na Kambi za kijeshi na Urusi inazijua ila pamoja na hayo yote Urusi bado anapiga makombora kwenye makazi ya raia na kuwaacha wanajeshi wa Ukraine huko fronts.
 
Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu
Hao unaowaita wahuni unadhani wako wenyewe kwenye hii vita, Ukraine ingekuwa imesimama yenyewe bila misaada (actually ni madeni ya kufa mtu) Putin angeshamaliza kazi within time frame aliyo declare.

Umeshatambua lengo la encirclement na series of bombardments wanayofanya israel kwa sasa, vita ni mbinu na intelijensia huwezi kwenda kwa adui na msafara wa siafu na matamko ya vitisho.

Hao wahuni kama walijenga njia za kuingilia underground kwenye makanisa, misikiti, shule, makazi ya watu, na miundombinu mingine na kukimbilia kujificha kwenye hayo maeneo unategemea nini. Israel hawakuwa wajinga kutoa nafasi ya watu kuondoka hayo maeneo.
 
Kila uovu wakifanya ni allah akbar huyu mungu wao wa ajabu sana.Kule ukraine nako ni allah akbar wakidai eti ukraine wangeukubali uvamizi wa urusi kuliko kumwaga damu.Sasa hivi mkia wao umeguswa wanawake na watoto wanatajwa.Allah yuko selective sana!
Pole sana
 
Ww **** kama huna la maana la kuandika usiwe una shobokea comment zangu.
Kama kundu lako linakuwasha sana chukua kijiga cha moto jichomeke ili muwasho ukuishie pumbavu

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
 
unajijua vita ya siku sita ? Hilo jeshi unalolibeza lilitandika nchi zote za kiarabu Misri, Jordan, Syria, Yemen, Iran ndani ya siku sita tu na kuwapokonya maeneo kama Golan, Sinai nk.

Sida ya Maarabu na mafuasi yao maislamu ni majinga majinga tu, mabishi bishi, maswahili na mapuuzi. Kama IDF (jeshi la Israel sio hodari, pmlmamazenu liliwezaje kuwafi*ra majeshi ya nchi zote za kiarabu kwa siku sita maarabu yakaomba vita isitishwe na kupokonywa maeneo yao ?! Stupid, idiotic, lazy ass terrorists.
Sasa mpumbavu ni nani kati ya hao waislam na ww unaye sema Israel alipigana na Iran na Yemen?

Hiyo historia ulisomea kawe kwa manabii uchwara?
 
unajijua vita ya siku sita ? Hilo jeshi unalolibeza lilitandika nchi zote za kiarabu Misri, Jordan, Syria, Yemen, Iran ndani ya siku sita tu na kuwapokonya maeneo kama Golan, Sinai nk.

Sida ya Maarabu na mafuasi yao maislamu ni majinga majinga tu, mabishi bishi, maswahili na mapuuzi. Kama IDF (jeshi la Israel sio hodari, pmlmamazenu liliwezaje kuwafi*ra majeshi ya nchi zote za kiarabu kwa siku sita maarabu yakaomba vita isitishwe na kupokonywa maeneo yao ?! Stupid, idiotic, lazy ass terrorists.
Ww jamaa acha kujitia aibu kama hujui kitu bora ukauliza au ukakaa kimia?
 
Hao unaowaita wahuni unadhani wako wenyewe kwenye hii vita, Ukraine ingekuwa imesimama yenyewe bila misaada (actually ni madeni ya kufa mtu) Putin angeshamaliza kazi within time frame aliyo declare.

Umeshatambua lengo la encirclement na series of bombardments wanayofanya israel kwa sasa, vita ni mbinu na intelijensia huwezi kwenda kwa adui na msafara wa siafu na matamko ya vitisho.

Hao wahuni kama walijenga njia za kuingilia underground kwenye makanisa, misikiti, shule, makazi ya watu, na miundombinu mingine na kukimbilia kujificha kwenye hayo maeneo unategemea nini. Israel hawakuwa wajinga kutoa nafasi ya watu kuondoka hayo maeneo.
Hiyo integensia inayo tumika kutambua mahandaki yaliyoko kwenye makazi ya watu mbona mpaka sasa imeshindwa kutambua walipo mateka?

Acheni uhuni hakuna kitu kinacho weza halalisha huo upuuzi unao fanywa na Israel , Israel sio taifa la kwanza kupambana na hao unao waita magaidi Iraq ilisha pigana na magaidi wa IS wenye nguvu mara 10 ya hamas na hatukuona likifanya upuuzi wa kuuwa watu kwa kisingizio cha magaidi wanajificha kwenye makazi ya watu.
 
Back
Top Bottom