Na sisi tunaomalizana kwenye vichaka na majumba mabovu unatuweka kwenye kundi gani!
Nimeona malalamiko na matukio kibao yanayotokea nyumba za wageni yakiletwa humu!Wengine utawagundua ni maInfii kwahiyo hawawezi kupelekana nyumbani ila wengine ni mabachela!Sasa kwa hawa walio single kwanini hua wanapelekana gesti na sio kwenye makazi yao?Jinsi mtu anavyo-value uhusiano inachangia...au ndo inaonyesha kwamba hamna uhusiano pale wala heshima kwa kiasi fulani?Binafsi hua nafikiria mwanaume mpaka akupeleke gesti anakua amekudharau sana!Embu kakaz mtuambie...ni kwanini?
Sasa kwanini wasisubiri mpaka wawaelewe ili wapelekane nyumbani?Yani hapo inaonyesha kitanda chake kina thamani zaidi ya mwili wake!
Na sisi wa ndani ya magari?
Namchukia mtu anayeniambia twende guest wakati anakwake na yuko single.
Namtosa hapohapo!
Nimeona malalamiko na matukio kibao yanayotokea nyumba za wageni yakiletwa humu!Wengine utawagundua ni maInfii kwahiyo hawawezi kupelekana nyumbani ila wengine ni mabachela!Sasa kwa hawa walio single kwanini hua wanapelekana gesti na sio kwenye makazi yao?Jinsi mtu anavyo-value uhusiano inachangia...au ndo inaonyesha kwamba hamna uhusiano pale wala heshima kwa kiasi fulani?Binafsi hua nafikiria mwanaume mpaka akupeleke gesti anakua amekudharau sana!Embu kakaz mtuambie...ni kwanini?
Namchukia mtu anayeniambia twende guest wakati anakwake na yuko single.
Namtosa hapohapo!
Hehe nyie bado watoto!Pesa ya guest hamna..nyumba ya kuwapeleka hamna na hormone zinawazidi nguvu mpaka mnakimbilia vichakani!
Sasa kwanini wasisubiri mpaka wawaelewe ili wapelekane nyumbani?Yani hapo inaonyesha kitanda chake kina thamani zaidi ya mwili wake!
Na sisi tunaomalizana kwenye vichaka na majumba mabovu unatuweka kwenye kundi gani!
hivi LD wewe unaweza kumkataa unaempenda kwa sababu ya kukupeleka gesti za uswahilini? , jibu lako lizingatie na mapigo yangu ya moyo please.
senks in advance
Jamani mkiona mnapelekwa sana guest tafuteni mageto yenu na nyie muwe mnapeleka hivo viboyfrendi huko....
Mdogomdogo tu hommie tutafika wanata uwapeleke geto then waache gagulo zao! Lol
Jamani mkiona mnapelekwa sana guest tafuteni mageto yenu na nyie muwe mnapeleka hivo viboyfrendi huko....
Nimeona malalamiko na matukio kibao yanayotokea nyumba za wageni yakiletwa humu!Wengine utawagundua ni maInfii kwahiyo hawawezi kupelekana nyumbani ila wengine ni mabachela!Sasa kwa hawa walio single kwanini hua wanapelekana gesti na sio kwenye makazi yao?Jinsi mtu anavyo-value uhusiano inachangia...au ndo inaonyesha kwamba hamna uhusiano pale wala heshima kwa kiasi fulani?Binafsi hua nafikiria mwanaume mpaka akupeleke gesti anakua amekudharau sana!Embu kakaz mtuambie...ni kwanini?