Kwanini gesti?

Kwanini gesti?

Umetoa mfano wa Afghanistan na kuhusu kula ubuyu sijui nini ndo nilichojibu........in relationships there is nothing thats a must....i always have my choices....

CPU kasema kwamba yeye anakula ugali na dagaa, na anapitisha mlo mmoja na akasema kwamba itabidi mpange kuanzia mwanzo kwamba kama unaweza au huwezi..., now hapo ndio ukaja mfano wangu kwamba hakuna ambaye hawezi people dont always do things because they want to, but because they have to..., choice is when there is A and B; Today you can get someone ambaye anazo A, B C and D so you can choose lakini inapobakia A peke yake then hakuna alternative... and remember jibu langu kwa CPU was not about choice its was about ability to cope..,
 
halaf yule lizzy kaanzisha sredi la kukandia faifu star hotel za sinza halaf kaingia mitini. simgongei senks kwa siku tatu mfululizo
Nipo kloro...nigongee alafu kesho ntaanzisha ya kufagilia ishu nyingine kwa hisani yako!
 
Naomba niwe off topic kwa post hii jamani
Nawaomba wale woooote ambao ni Checkbob Fans . . . . Uh! Namaanisha Chelsea Fans waje hapa tupate ulabu, mi nitalipia kila kitu
 
Naomba niwe off topic kwa post hii jamani
Nawaomba wale woooote ambao ni Checkbob Fans . . . . Uh! Namaanisha Chelsea Fans waje hapa tupate ulabu, mi nitalipia kila kitu
Kwa hisani ya mtu fulani na msamaha wa Off Topic naomba uniagize redds!
 
Huwezi kwasababu hutaki na sio haiwezekani!

Anaweza kukifanya kama kwa kukitekeleza tu, lakin kimatokeo kitamdhuru maana ameshaamua hivyo ktk nafsi yake
 
CPU kasema kwamba yeye anakula ugali na dagaa, na anapitisha mlo mmoja na akasema kwamba itabidi mpange kuanzia mwanzo kwamba kama unaweza au huwezi..., now hapo ndio ukaja mfano wangu kwamba hakuna ambaye hawezi people dont always do things because they want to, but because they have to..., choice is when there is A and B; Today you can get someone ambaye anazo A, B C and D so you can choose lakini inapobakia A peke yake then hakuna alternative... and remember jibu langu kwa CPU was not about choice its was about ability to cope..,

mmmhhh haya....
 
Kwa hisani ya mtu fulani na msamaha wa Off Topic naomba uniagize redds!

Ndo yaleyaleeeee . . . .
Ya hotel za faivu staa na gesti za sinza kwa remmy . . . . teh teh teh
Usijali ngoja nichek pochi kama itaruhusu . . . maaana Redds moja ni sawa na ulabu kwa watu 6 . . . lol
 
ile kuandika nina loan tu nimepokea PM za wadada kama 6 hivi (majina kapuni) ndani ya dakika 5. balaa walahi.

unajuaje ji wadada...at least mi unanijua,angalia usije.....huko?mi sipo.....utaenda kote hapa ni mtakuja Kloro.....
 
Mmh!Sikua na nia ya kukukwaza mpendwa...nimesimama hapa na samahani kichwani inanilemea naomba unitue!

Hujanikwaza Lizzy mpenzi,samahani kama umefikiri hivyo...nimeona tu kama naongea sieleweki na nimechoka....ndo nikaandika hivyo but sijachukia wala kukwazika....sorry!!
 
Ndo yaleyaleeeee . . . .
Ya hotel za faivu staa na gesti za sinza kwa remmy . . . . teh teh teh
Usijali ngoja nichek pochi kama itaruhusu . . . maaana Redds moja ni sawa na ulabu kwa watu 6 . . . lol

Hehehe kama wallet hairuhusu ntakunywa fanta...na mimi najua kukompromaiz ujue..
 
Hujanikwaza Lizzy mpenzi,samahani kama umefikiri hivyo...nimeona tu kama naongea sieleweki na nimechoka....ndo nikaandika hivyo but sijachukia wala kukwazika....sorry!!
Asante mpnz!Hata sisi tumekuelewa sana tu ila bado tunakomaa na ukweli kwamba uchaguzi upo na unaruhusiwa ila kama kitu hakiui then kinawezekana kama matakwa yapo!
 
Asante mpnz!Hata sisi tumekuelewa sana tu ila bado tunakomaa na ukweli kwamba uchaguzi upo na unaruhusiwa ila kama kitu hakiui then kinawezekana kama matakwa yapo!

Ni kweli,hakuna kinachoshindikana kama nia ipo.....:coffee:
 
hivi ni wakati gani mwanamume/mwanamke anaamua kwamba
haya ni mahusiano thabiti? manake nina wasiwasi na idadi itakayobidi
ipelekwe home kabla mtu hajaamua "huu ni uhusiano thabiti"

Ntaweka giza ili wale wanaotaka mahusiano thabiti wakatae kupelekwa gesti!Ila kama anataka kipoozeo ruksa na kutumika kama kipoozeo!
 
hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.
hakyanani Mungu atatulipia


Ha ha ha ha! Nilikuwa nimejitune kusoma post zote hadi mwisho kabla sijasema chochote, lakini mkuu umenichekesha. Mumgu akulipe nini? Mshahara wa dhambi ni mauti. Sasa kwani huyo wa hivo anakuwa mkeo?
 
Na hali hii ya mgao wa umeme nimepata kimrembo changu mchana wa jua kali,mama mwenye nyumba ananuna nikiingiza demu Geto,nimepanga chumba kimoja na hakina dari,kitanda kimelegea full makelele,kuna wapiga chabo na zaidi ya yote mashuka yote machafu na hamna maji ya kuoga.,kwanini nisiende Gesti bana.
 
Back
Top Bottom