Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoa mfano wa Afghanistan na kuhusu kula ubuyu sijui nini ndo nilichojibu........in relationships there is nothing thats a must....i always have my choices....
Kwa hisani ya mtu fulani na msamaha wa Off Topic naomba uniagize redds!Naomba niwe off topic kwa post hii jamani
Nawaomba wale woooote ambao ni Checkbob Fans . . . . Uh! Namaanisha Chelsea Fans waje hapa tupate ulabu, mi nitalipia kila kitu
Huwezi kwasababu hutaki na sio haiwezekani!
Huwezi kwasababu hutaki na sio haiwezekani!
CPU kasema kwamba yeye anakula ugali na dagaa, na anapitisha mlo mmoja na akasema kwamba itabidi mpange kuanzia mwanzo kwamba kama unaweza au huwezi..., now hapo ndio ukaja mfano wangu kwamba hakuna ambaye hawezi people dont always do things because they want to, but because they have to..., choice is when there is A and B; Today you can get someone ambaye anazo A, B C and D so you can choose lakini inapobakia A peke yake then hakuna alternative... and remember jibu langu kwa CPU was not about choice its was about ability to cope..,
Kwa hisani ya mtu fulani na msamaha wa Off Topic naomba uniagize redds!
ile kuandika nina loan tu nimepokea PM za wadada kama 6 hivi (majina kapuni) ndani ya dakika 5. balaa walahi.
Mmh!Sikua na nia ya kukukwaza mpendwa...nimesimama hapa na samahani kichwani inanilemea naomba unitue!
Ndo yaleyaleeeee . . . .
Ya hotel za faivu staa na gesti za sinza kwa remmy . . . . teh teh teh
Usijali ngoja nichek pochi kama itaruhusu . . . maaana Redds moja ni sawa na ulabu kwa watu 6 . . . lol
Asante mpnz!Hata sisi tumekuelewa sana tu ila bado tunakomaa na ukweli kwamba uchaguzi upo na unaruhusiwa ila kama kitu hakiui then kinawezekana kama matakwa yapo!Hujanikwaza Lizzy mpenzi,samahani kama umefikiri hivyo...nimeona tu kama naongea sieleweki na nimechoka....ndo nikaandika hivyo but sijachukia wala kukwazika....sorry!!
Asante mpnz!Hata sisi tumekuelewa sana tu ila bado tunakomaa na ukweli kwamba uchaguzi upo na unaruhusiwa ila kama kitu hakiui then kinawezekana kama matakwa yapo!
whatever....
Ntaweka giza ili wale wanaotaka mahusiano thabiti wakatae kupelekwa gesti!Ila kama anataka kipoozeo ruksa na kutumika kama kipoozeo!
hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.
hakyanani Mungu atatulipia
Hili jibu limenikumbusha mbali sana . . .
Kwenye sredi niliyoianzisha mi mwenyewe