Siku za mwanzo za uhusiano kwa wengine inaweza kua mwaka mzima..
When you get to know me..? the inner me..? hapo materials things wont matter utakuwa tayari wote wawili tutafute hizo materials
hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.Mwalimu I told u tutafika tu kwenye mzizi wa hii kitu! Cjawai ckia shosti analamika kwa mashosti wake kua mi kila cku napelekwa kempisky, goleden tulip au sea clif! Sana sana itakua sifa ya kuwapiga bao mashustito!
hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.
hakyanani Mungu atatulipia
Hahaha kamanda usitake kuvunja mbavu zangu wakati wajua kesho ni cku ya mkoloni! Dah tablet umenifanya nicheke kwa sauti hapa counter ya juu!hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.
hakyanani Mungu atatulipia
ha ha ha mwalim bana! tena hiyo katiba tunaomba Lizzy mleta sredi asishirikishwe kuitayarisha. atatuwekea guu kwenye vigesti vyetu vya alfu moja kwa saa huyu.hahaha Mkuu tunahitaji katiba mpya
Nah!Kama sababu ya kuvutiwa na kuwa na wewe haikuhusisha utu wako nikija kugundua ndicho pekee unachoweza kunipa ntakimbia!
Mwanzo hukutaka mada i-evolve ila mwenyewe unaongoza majeshi...asante!Nwyz ningekua nimefanya reaserch ningekuja na namba but i haven't ila wapo!Kuhusu wadada kuwakaribisha wakaka ipo lakini haijazoeleka sana!Na kiuhalisia zaidi wanaume wanapenda kuongoza...hivyo akianza yeye ndipo mdada atafuatia!Wengine hao ni asilimia ngapi? Na hao walokuwa siku za mwanzo mwaka mzima wanapelekwa guest wao walikaribisha vijana majumbani mwao?
Mshiko hata binafsi unahitaji ili upate kula!Ila sio kigezo cha mahusiano kwa wote!hii sredi kila ikiendelea ndio nazidi kujifunza kwamba kuwarizisha wadada lazima kuwe na mshiko mfukoni. kamanda kimey umeongea suala la mbolea sana. mdada ukimpeleka faifu star hotel hakatai na atajifanya " honey lakini mwenzio nimekumiss kama tairi za meli ujue" wizi mtupu.
hakyanani Mungu atatulipia
labda nibase kwenye point ya kamanda kimey na niulize suala hili la nyongeza , je ukipelekwa faifu star hotel utakuwa umezarauliwa pia au ni gesti za uswahilini tu ndio zinaapply kwenye hii golden rule?Mshiko hata binafsi unahitaji ili upate kula!Ila sio kigezo cha mahusiano kwa wote!
ha ha ha mwalim bana! tena hiyo katiba tunaomba Lizzy mleta sredi asishirikishwe kuitayarisha. atatuwekea guu kwenye vigesti vyetu vya alfu moja kwa saa huyu.
Kuhusu wadada kuwakaribisha wakaka ipo lakini haijazoeleka sana!Na kiuhalisia zaidi wanaume wanapenda kuongoza...hivyo akianza yeye ndipo mdada atafuatia!
ukiweka kauzibe sana nitareport abuse kwa invizibo ujue. lolNtaweka giza ili wale wanaotaka mahusiano thabiti wakatae kupelekwa gesti!Ila kama anataka kipoozeo ruksa na kutumika kama kipoozeo!
Wanawake mnalilia usawa wakati wote, lakini linapokuja suala la mapenzi au pesa mnamsukumia mwanamme kuwa 'aongoze'. Hiyo ndo inayojenga hisia ya kuwa 'umedharauliwa' kupelekwa guest kama vile wewe huna say yoyote kwenye 'zoezi' husika.
What if you take a guy to a hotel, itakuwa umemdharau? π
ukiweka kauzibe sana nitareport abuse kwa invizibo ujue. lol
Kamanda taratibu utasababisha hii thread iwe moved! We need answers here!labda nibase kwenye point ya kamanda kimey na niulize suala hili la nyongeza , je ukipelekwa faifu star hotel utakuwa umezarauliwa pia au ni gesti za uswahilini tu ndio zinaapply kwenye hii golden rule?
dah! mwalim naomba niicopy hii post yako halaf nikaiweke kwenye noticeboard kazini. yaani hili point hata google halipatikani. senksWanawake mnalilia usawa wakati wote, lakini linapokuja suala la mapenzi au pesa mnamsukumia mwanamme kuwa 'aongoze'. Hiyo ndo inayojenga hisia ya kuwa 'umedharauliwa' kupelekwa guest kama vile wewe huna say yoyote kwenye 'zoezi' husika.
What if you take a guy to a hotel, itakuwa umemdharau? π
Ntaweka giza ili wale wanaotaka mahusiano thabiti wakatae kupelekwa gesti!Ila kama anataka kipoozeo ruksa na kutumika kama kipoozeo!