Kwanini GPS trackers zinaondolewa baada ya vyombo vya moto kuibiwa?

hapa ndipo pa kujazia nyama, sababu GPS zishakuwa nyoso.!wabongo hovyo sana, wanasubiri ununue gari waibe.
Kill switch unatafuta wire ambao ukiukata gari haitawaka. Huo wire unaukata halafu unafunga switch ukitaka kuwasha gari itabidi uwashe kwanza hiyo switch otherwise gari haitawaka.

Kama unahisi hilo la kufunga switch ni gumu, zipo wireless kill switch, switch itajiwasha automatic remote ikiwa karibu na kujizima remote ikiwa mbali
 
Ubarikiwe sana....Nitakwenda na WIRELESS KILL SWITCH.
 
Hyo kill switch inafanyaje kazi mkuu
 
uwekaji wa GPS ni wakizembe ndio ni rahisi kujua imefungwa sehemu gani.

kama GPS itawekwa ndani ya chuma si rahisi kufahamu au itachukua mda kukata icho chuma.

Na swala jingine kuna vifaa hapa tanzania vinaingia hata watu kufahamu au serikali ila ndio vinatumika kutafuta gps hipo wapi.
Rahaa sana kuishi nje mpaka wizi wa kiteknolojia navo ufahamu.
ila JF wanafuta sana nyuzi zangu napo sema ukweli haya.itakuwa moderator ni mwizi
 
zinasaidia vpi ? ilihali mpaka kulipata hilo gari unakuta ni chesis imepaki ?

wezi wako smart , hizo GPS hakuna kitu, wanaruka ukuta wanang'oa kila kitu wanakuachia mifupa pamoja na GPS yake

unaamka asubuhi unatoa macho
Ukiwa na mali kama hiyo, basi weka angalau ulinzi wa mbwa. Hata wakusaidie kukuamsha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…