JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #21
Kill switch unatafuta wire ambao ukiukata gari haitawaka. Huo wire unaukata halafu unafunga switch ukitaka kuwasha gari itabidi uwashe kwanza hiyo switch otherwise gari haitawaka.hapa ndipo pa kujazia nyama, sababu GPS zishakuwa nyoso.!wabongo hovyo sana, wanasubiri ununue gari waibe.
Shukrani mkuu.Mtoa mada una kura yangu kuleeeeeeeeee gerejiiii
Kuna notes nachukuaga kutoka kwakoShukrani mkuu.
Haina shida mkuu tupo pamoja.Kuna notes nachukuaga kutoka kwako
Ubarikiwe sana....Nitakwenda na WIRELESS KILL SWITCH.Kill switch unatafuta wire ambao ukiukata gari haitawaka. Huo wire unaukata halafu unafunga switch ukitaka kuwasha gari itabidi uwashe kwanza hiyo switch otherwise gari haitawaka.
Kama unahisi hilo la kufunga switch ni gumu, zipo wireless kill switch, switch itajiwasha automatic remote ikiwa karibu na kujizima remote ikiwa mbali
Okay karibu sana.Ubarikiwe sana....Nitakwenda na WIRELESS KILL SWITCH.
Hyo kill switch inafanyaje kazi mkuuKumekuwa na cases nyingi za watu kuibiwa vyombo vya moto na GPS trackers kuondolewa, mpaka kupelekea watu kuona kama kufunga GPS trackers hakuna umaana wowote.
Hii thread sitazungumzia kabisa detectors na jammers km watu wengi wanavyodhani kuwa wezi wanakuwa na tools hizo ambazo zinawasaidia kudetect mahali GPS tracker ilipokuwa installed.
Nitaeleza experience yangu kuhusu kile nilichokiona kwenye magari ya watu na ambacho kwa namna nyingine nimeona ni kama hakipo sawa.
Labda kwa kifupi tu niseme, nilichokiona ni kwamba ufungaji wa mifumo ya ulinzi mathalani GPS trackers na Alarms umekuwa ni wa kufanana, its like mwalimu/walimu wanaofundisha ufungaji wa mifumo hii wanafundisha kitu cha aina moja au wamewaaminisha wanafunzi wao kwamba GPS trackers lazima ifungwe kwa mtindo fulani.
Its sad kwamba gari nyingi GPS trackers/Alarms zimefungwa chini ya usukani, mathalani gari za kijapani ambazo siyo push to start. Mtu anafunga hiyo sehemu akiamini kwamba atatumia waya wa switch on kuzimia gari. Lakini kiuhalisia gari inazo waya nyingi sana ambazo ukizikata gari inazima. Hivyo kufunga maeneo tofauti tofauti inawezana.
Kwanza hili jambo la mtu kwenda kusomea kufunga GPS au Alarm halijakaa poa, huenda ndio matokeo ya huku kufanana. Its better kufunga GPS kwa mtu mwenye uelewa na umeme wa chombo husika. Kwa sababu huyu anakuwa na options.
Nowadays GPS trackers are tiny, kwa mfano kwenye magari sehemu za kuficha ni nyingi mpaka ndani ya modules huko na electronic devices zingine kama radio n.k.
Kutokana na hicho nilichokiona imenipelekea niamini kwamba ufungaji wa GPS trackers wa aina hiyo umepelekea hata wezi kukariri kwamba zinafungwa wapi hivyo kuwa rahisi kuzitoa wakiiba vyombo hivyo.
Sisemi kwamba hakuna njia nyingine inayotumika kuzitoa hapana zipo pia njia zingine lakini hii ya ufungaji wa kufanana tena mahali peupe kama chini ya usukani imepelekea utoaji uwe rahisi sana.
Pia kitu kingine, GPS haizuii gari kuibiwa. Ila Inaweza kukusaidia kulipata baada ya kuibiwa. Kama unataka lisiibiwe funga Kill switch iwe ya wireless au manual. At least mtu anaweza akashindwa kuliwasha na kuondoka nalo labda alivute.
Ni hayo tu kwa leo.
Kuipiga shoti ni mpaka ujue ilipofungwa.,Naskia wanazipigisha shoti zinaungua ngoma inatembea
Au suzuki swift, dogo anasemaga hii suzuki yng ht nispoiloki haibi mtuu[emoji1][emoji1][emoji1], af namba B ssBora kuendesha kamkweche tu jamani, mie sina hofu atakaeiba Opa ni nani leo hii?
Niliamua kuweka bima kubwa tu lolote litakalotokea nilale mbele na insurance company, mambo ya kulala Nawaza usalama wa gari ni ufala
hahaha pole sana, kuna jamaa hapa ana fensi kubwa, kaweka litaa lile likubwa (tena mbili) lina mulika gari usiku kuchamambo ya kulala Nawaza usalama wa gari ni ufala
Kwani mkweche hautoi spare parts, hawauzi gari, bali vipuli.Bora kuendesha kamkweche tu jamani, mie sina hofu atakaeiba Opa ni nani leo hii?
Muda sio mrefu utapata faida ya iloMkuu acha sisi tuibe Magari serikali ituibie hela ya Umma.😂
We jichanganye tu mkuu watu wana njaaa Balaa [emoji16][emoji16]Bora kuendesha kamkweche tu jamani, mie sina hofu atakaeiba Opa ni nani leo hii?
Piki piki zinaibiwa itakua Opa!Bora kuendesha kamkweche tu jamani, mie sina hofu atakaeiba Opa ni nani leo hii?
Ukiwa na mali kama hiyo, basi weka angalau ulinzi wa mbwa. Hata wakusaidie kukuamsha!zinasaidia vpi ? ilihali mpaka kulipata hilo gari unakuta ni chesis imepaki ?
wezi wako smart , hizo GPS hakuna kitu, wanaruka ukuta wanang'oa kila kitu wanakuachia mifupa pamoja na GPS yake
unaamka asubuhi unatoa macho