Kwanini haiitwi Vatican Country badala yake inaiwa Vatican City?

Safi mkuu nimeelewa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umepuyanga na magoogle yako, We si mtu mzima kabisa! Sasa magoogle ya nn kama first year pathetic
Mbona wewe huleti majibu yako? Halafu punguza dharau mdogowangu wengine baba zako humu JF
 
Mamlaka na sio Mamulaka
 
Umepuyanga na magoogle yako, We si mtu mzima kabisa! Sasa magoogle ya nn kama first year pathetic
Kirasmi Vatican inajulikana kwa jina la "The State of the Vatican City"
 
Halafu ni dokta!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan nae amends shule jiulize wale wengine???

Sasa mbona na wewe yale yale tu “amends shule” au kwakuwa wewe yako ina swagger ya kizungu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Gud
 
Nachanganyikiwa naposikia Rumi, Roma, Vatican, na pia nilisikia Yesu alipoondoka duniani aliliacha kanisa la Roman Catholic, je nini uhusiano wa Rumi na Roman na je Yesu alikwenda Rome? Ilikuwaje yeye myahudi akaenda kuwakabidhi dhehebu watu wa Roma?
 
Nachanganyikiwa naposikia Rumi, Roma, Vatican, na pia nilisikia Yesu alipoondoka duniani aliliacha kanisa la Roman Catholic, je nini uhusiano wa Rumi na Roman na je Yesu alikwenda Rome? Ilikuwaje yeye myahudi akaenda kuwakabidhi dhehebu watu wa Roma?
Usichanganye mambo;Rumi ni kwa kiswahili na Roma ni kiingereza
 
Kweli kwa waliofatilia kisa Cha Archbishop Miringo na kitabu chake Cha "Fish drawn out of the mud wataelewa hili Jambo. Ila hiki kitabu kiliondolewa kwenye Catholic bookshops Mara baada ya Miringo kurudia yaleyale yaliyompeleka kwenye retreat centre kule Brazil kwa miaka mitatu.
 
Kiuhalisia kabisa hiyo si nchi kabisa kama inavyotajwa. Ni kama nchi ya kufikirika ata uki gugo map sasa ivi ukaweka ramani yote ya dunia. Unaweza kuona kila sehemu kila nchi na mipaka yake ila uwezi kuiona Vatican kama nchi sana sana utaambulia kuiona Vatican city katikati mwa nchi ya Italy tena ikionekana kama mji tu.

Nchi ya Vatican au Vatican city
ni dola-mji lenye eneo la kilomita za mraba 0,44 tu. Raia wake ni 565 na wageni ni 232 jumla ina wakazi 791 na Hivyo ni nchi ndogo kuliko zote duniani. Ni nchi ya Papa ambaye ni askofu wa Roma na mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kote.

NB: kumbuka ni nchi ndogo kuliko yoyote duniani yaani ata huu mji wetu wa dar es salaam ni mkubwa kuipita Vatikani.
Kwa mantiki hiyo nafikiri ndiyo mana ikawa Vatican city na si Vatican country
 
Strategic city/country. Kuna mengi sana yamejificha..
He who claims must prove...haisaidii kupiga ramli...eleza hiyo strategic city/country ikoje na hayo mengi yaliyojificha yakoje.
 
Hiyo Ni Nchi Ya Kimkakati Wa Mambo Mengi Sana Kwenye Hii Dunia, Wanaoishi Humo Ni Idadi Maalum
Ina kuwa na watu wengi mchana tu. Jioni ikiingia wengi wanajisogeza Roma. Nimesema 'wanajisogeza' maana Vatican City iko within Roma. Na mchana watu wengi wolioko Vatican City ni watalii. Wenyeji hasa wa Vatican City hawazidi 800 kama sikosei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…