Lisu atembelewa na mkubwa wa EU?? Who's Lisu?? Hio ni ndoto ndg yangu wazungu hawafanyi mambo kijinga na hawezi tembelewa huyo mtu maana hawana maslahi yoyote nae. Yeye yupo pale kama mgonjwa wa kawaida tu.
Wazungu wanafanyaga mambo kwa interest zao sasa huyu atawasaidia nini EU??
Hakuna Serikali inayotaka matatizo na nchi zingine kwa sababu ya mtu mmoja aliyeondoka kwao (iwe kwa sababu yoyote ile) na kutumia jukwaa la nchi nyingine kuikosoa nchi yake. Watu wa jinsi hiyo hupata shida kupata hifadhi ya kisiasa. Wakikupa wanakwambia: "Na ukae kimya tusisikie chochote". Na ujue Kenya na Tanzania sio maadui. Sisi ni marafiki. Mtu mmoja hawezi kuvuruga uhusiano wetu wa miaka mingiHapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Tundu.Lisu ndo nan?
Charity begins at homeHapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Ni wale wale tu. Kwanini waende kumuona wakati wao pia wanawafanya hivyo watu wao.Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
..mzee kibaki, kalonzo musyoka, chief justice mutunga[rtd], ni baadhi ambao nimesikia walikwenda kumjulia hali.
Jamani, hakuna majitu mavivu ya kufikiri tena yenye akili za wastani kama machadema!Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Kalonzo Musyoka ni mwanachama wa muungano wa NASA na majibu raisi mgombea wa Odinga. Ambacho ni chama kilichokua hakiungwi mkono na Chadema. Sidhani habari zako zina ukweli..mzee kibaki, kalonzo musyoka, chief justice mutunga[rtd], ni baadhi ambao nimesikia walikwenda kumjulia hali.
Labda alienda kumuomba mawaidha ya jinsi atakavokwepa risasi ikifika siku yake. Hahaha.Kalonzo Musyoka ni mwanachama wa muungano wa NASA na majibu raisi mgombea wa Odinga. Ambacho ni chama kilichokua hakiungwi mkono na Chadema. Sidhani habari zako zina ukweli
JANA MLIKUJA NA UZI KUWA HAKUNA PICHA ZA LISSU AKIWA MATIBABU MAJUU. BAADA YA KUANZA KUMIMINIKA KWA FUJO SASA MMEHAMIA KUTAKA KUJUA VIONGOZI WA KENYA WALIOMTEMBELEA LISSUHapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?