Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?