Kwanini hakuna timu ya mpira K'njaro wala wachezaji wenye majina ya huko?

Kwa sasa Kilimanjaro tuna hamu sana na ligi kuu ndo maana mechi zote za Panone fc watu wanajitokeza kwa wingi sana tofaut na miaka ya nyuma
 
Christopher alex massawe 'rasta' lichzea simba, yule aliyekamatwa na nguo za jeshi.
 
Kumbe kila Masawe inatoka Moshi eeeti!!!! basi kama ndivyo hivyo hata huku chama la Ndanda fc kuna masawe mwingine, but sijui kama huyu nae anatoka huko huko Uchagani...

Makaura alitaka majina yenye asili ya Kilimanjaro.
 
Last edited by a moderator:
Jiulize kwann wanamuziki na wanamichezo wengi wa USA ni black Americans. Wachaga hawana interest na mpira hata chembe. Mpira unachezwa sana maeneo ya pwani katika nchi hii, ni attitude tu ya watu husika.
 
Kila kabila na mambo yake. Wapiga matarumbeta karibu wote ni wasambaa. Maduka mengi mitaani inamilikiwa na wachaga. Kwenye masoko (genge) wengi waha wa Kigoma. Kwenye bucha wengi wagogo. Wapasua mbao kwa misumeno wengi walikuwa wakinga. Wakati huo, wanajeshi wengi walikuwa walikuwa wakurya.
Mpira asili yake Morogoro, Kigoma nk

Miaka ya nyuma mikoa mingi ilikuwa na bendi ya muziki. Cuban na Moro Jazz, Morogoro. Tabora Jazz kule Tabora. lakini Kilimanjaro ilishindakana baada ya kutokea ugomvi nani awe mhasibu wa bendi ha ha ha.
 
Danny Lyanga, mshambuliaji wa CUSC ni Mchaga pia, na alitokea Machava FC.
 
UWIIII
 
Klm Milima sana,ardhi nyingi sio flat screen.hamna pa kuchezea
 
Yale matege yao ya ndani mtu atacheza mpira afike wapi?
 
Kuna marehemu Chris Alex Masawe aliyekuwa Simba na Masawe wa Stendi United.
 
Wachaga wameshaona mpira haulipi, mwisho wa siku unakuwa maskini . Kwa jinsi wachaga walivyo na bidii katika kazi , wangeamua kujishughurisha na mpira timu ya taifa hata world tungeshachukua zaidi ya mara nne.
 
Kama michezo kupoteza muda, nchi zilizoendelea zidhani kama wangeipa umuhimu hii kitu. Leo mpira wa miguu unalipa kuliko baadhi ya biashara wanazofanya wachaga.
 
kuna nchi kule amerika ya kisini wamekatazwa kucheza soka kwa ajili ya high altitude nadhani ni Peru, huko kilimanjaro kuna hawako high altitude!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…