Kwanini hakuna wanamuziki maarufu Wasukuma na Wahaya

Kwanini hakuna wanamuziki maarufu Wasukuma na Wahaya

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
 
Huyo hapo msukuma sema kingine
Screenshot_20241130-150738.jpg
 
Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Fid Q, Young killer, baraka da prince, sajina, mo music, rado, na kala jeremiah, na wengine wengi tu ni wasukuma.
Wahaya wasanii wazamani walikuwepo akina bushoke, yule jamaa aliimba utakunywa sumu huku unaona alikuwa anaitwa k-basili, afsa kazinja, maua naye alikuwa anaimba nyimbo za kihaya, nourah a.k.a baba styles, soggy doggy hunter na wengine tu.
 
Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Unaongea upumbavu! Kala Jeremiah unamfahamu? Kiboko ya Mr. Nice ulikuwa unamfahamu?
 
Fid Q, Young killer, baraka da prince, sajina, mo music, rado, na kala jeremiah, na wengine wengi tu ni wasukuma.
Wahaya wasanii wazamani walikuwepo akina bushoke, yule jamaa aliimba utakunywa sumu huku unaona alikuwa anaitwa k-basili, afsa kazinja, maua naye alikuwa anaimba nyimbo za kihaya, nourah a.k.a baba styles, soggy doggy hunter na wengine tu.
Baraka sio msukuma
 
Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Saida Karoli
 
Back
Top Bottom