exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
SALAPHINA ni msukuma ogsiyo mmaasai?[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SALAPHINA ni msukuma ogsiyo mmaasai?[emoji28]
Saida KaroliTangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Kumbe nae uyu msanii!!!!Huyo hapo msukuma sema kingineView attachment 3165791
Ila Nash Mc amekuwa underrated sana ila ni kichwa kizuri sana huyu RutalemwaYupo nash mc
Mbona wasukuma wapo wengi tu tukianza na Young killer,Fid QTangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
umemaliza, atakuwa haufahamu muziki, anawajua Alikiba &Diamond peke yakoFid Q, Young killer, baraka da prince, sajina, mo music, rado, na kala jeremiah, na wengine wengi tu ni wasukuma.
Wahaya wasanii wazamani walikuwepo akina bushoke, yule jamaa aliimba utakunywa sumu huku unaona alikuwa anaitwa k-basili, afsa kazinja, maua naye alikuwa anaimba nyimbo za kihaya, nourah a.k.a baba styles, soggy doggy hunter na wengine tu.
MarlowHivi kuna mwanamziki mhehe?
Lidudu Baya ni kabila ganiTangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Akina Gudegude, budagala, dawadawa hao ni wamasai au?Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Sisi ni mapilot, maengineer, et alTangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Wala si Tarime ni Mjaluo na Luo wanatoka Roryakweli nimekumbuka ni wa tarime, nimechanganya kisa alitokea mwanza
MutalemwaIla Nash Mc amekuwa underrated sana ila ni kichwa kizuri sana huyu Rutalemwa
Hahahaha....Ushamba haviendanu na umaarufuTangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?
Hahaha ona hata jina tu analojipa....Yule ni Msukuma kazaliwa MburahatiKuna jamaa anaitwa "Oili Chafu"
Ze Dudu baya.