Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Unasema yupo kisha unasema hayupo! Ili awepo unataka wawe wangapi?Tangu enzi za mwanamuziki mwanama Saida Carol sijawahi kuona tena msanii mwanamuziki Mhaya. Kwa nini hakuna wanamuziki wa bongo flavour maarufu Wahaya na Wasukuma ukizingatia haya ni makabila makubwa na mashuhuri sana nchini?