JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
KWANINI HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM IMEVUNJWA Ni Mawazo Yangu #Joseph #Yona
Kiutawala Jiji lilikuwa limegawanyika katika Halmashauri sita za Serikali za mitaa ambazo ni:-
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.
Sasa Ukiangalia hapo juu kulikuwa kuna chombo tu kinaitwa HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, Lakini chombo hicho hakikuwa na eneo rasmi la kiutawala kwa maana nyingine Halmashuri ya jiji haina ARDHI inayoitawala, kwa maana hiyo inategemea vyanzo vya mapato kutoka halmashauri za manispaa.
Manispaa zijichange Ili Jiji lisonge.
Chombo hiki yaani HALMASHAURI YA JIJI ilikuwa ina Meya wake na baraza lake huku halina vyanzo vya mapato, LAKINI WALITENGA BAJETI, SASA SWALI UNAPEWAJE BAJETI HUKU MIRADI INAWEZA KUHUDUMIWA NA MANISPAA ZENYEWE? Hivyo kulikuwa na matumizi mabaya ya pesa kwa kuwa ni kama unampa MTU pesa hana matumizi.
SASA kilichofanyika nikuvua KOFIA ya HALMASHAURI YA JIJI na kuipa ILALA.
Na manispaa za KIGAMBONI, KINONDONI, UBUNGO, TEMEKE Zitabaki kama manispaa.
Kiutawala Jiji lilikuwa limegawanyika katika Halmashauri sita za Serikali za mitaa ambazo ni:-
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.
Sasa Ukiangalia hapo juu kulikuwa kuna chombo tu kinaitwa HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, Lakini chombo hicho hakikuwa na eneo rasmi la kiutawala kwa maana nyingine Halmashuri ya jiji haina ARDHI inayoitawala, kwa maana hiyo inategemea vyanzo vya mapato kutoka halmashauri za manispaa.
Manispaa zijichange Ili Jiji lisonge.
Chombo hiki yaani HALMASHAURI YA JIJI ilikuwa ina Meya wake na baraza lake huku halina vyanzo vya mapato, LAKINI WALITENGA BAJETI, SASA SWALI UNAPEWAJE BAJETI HUKU MIRADI INAWEZA KUHUDUMIWA NA MANISPAA ZENYEWE? Hivyo kulikuwa na matumizi mabaya ya pesa kwa kuwa ni kama unampa MTU pesa hana matumizi.
SASA kilichofanyika nikuvua KOFIA ya HALMASHAURI YA JIJI na kuipa ILALA.
Na manispaa za KIGAMBONI, KINONDONI, UBUNGO, TEMEKE Zitabaki kama manispaa.