Kwanini Harmonize anafanya collabo na kila msanii anayekutana naye?

Kwanini Harmonize anafanya collabo na kila msanii anayekutana naye?

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Huyu jamaa anajua kuimba ila nahisi anajirahisi sana, sijui nani anayemshauri kufanya collabo kilasiku, nahisi hata siku akikutana na mimi atanikubalia kolabo ya kinyimbo changu cha singeli[emoji3][emoji3][emoji3]. Aisee apunguze collabo watu wataizoea sauti yake watamchoka, afanye chache zinazoweza kumpeleka mbele, sio za wadwanzi kina QChilla hazitamfikisha popote, maana amefanya nyingi mno mwakahuu lakini ni chache zilizoweza kupenya
 
Huyu jamaa anajua kuimba ila nahisi anajirahisi sana, sijui nani anayemshauri kufanya collabo kilasiku, nahisi hata siku akikutana na mimi atanikubalia kolabo ya kinyimbo changu cha singeli[emoji3][emoji3][emoji3]. Aisee apunguze collabo watu wataizoea sauti yake watamchoka, afanye chache zinazoweza kumpeleka mbele, sio za wadwanzi kina QChilla hazitamfikisha popote, maana amefanya nyingi mno mwakahuu lakini ni chache zilizoweza kupenya
Mkuu na wewe umerithi mikoba ya uganga?

Q chila amekukosea nini labda kwa mfano?
 
[emoji23]yupo yule ndugu yake wa nigeria skales wao kila siku wanafanya collabo tu
 
Huyu jamaa anajua kuimba ila nahisi anajirahisi sana, sijui nani anayemshauri kufanya collabo kilasiku, nahisi hata siku akikutana na mimi atanikubalia kolabo ya kinyimbo changu cha singeli[emoji3][emoji3][emoji3]. Aisee apunguze collabo watu wataizoea sauti yake watamchoka, afanye chache zinazoweza kumpeleka mbele, sio za wadwanzi kina QChilla hazitamfikisha popote, maana amefanya nyingi mno mwakahuu lakini ni chache zilizoweza kupenya
Kuimba hajui,FULL STOP.
 
wivu wivu wivu,,,kwani kuna shida
Related image
 
Nimepitia nyuzi zako, ila kiukweli ndugu yangu una chuki binafsi na huyu jamaa.

Since ameamua kufanya kazi peke yake naona ni mwendo wa kumtolea Kleesoft tu.
Yaani kuna vitoto vimepandikizwa chuki na chuki imeota na imestawi vyema, sasa havioni jema zaidi ya kuja thread za kipuuzi tu,
 
Nimepitia nyuzi zako, ila kiukweli ndugu yangu una chuki binafsi na huyu jamaa.

Since ameamua kufanya kazi peke yake naona ni mwendo wa kumtolea Kleesoft tu.
Aise baadhi ya watu wa humu sijui ni ujinga au ni nn? Yaani huyo Hamo kutoka wcb ni zengwe na chuki kila siku, acheni roho mbaya vijana mtakufa kwa vihoro,
 
Huyu jamaa anajua kuimba ila nahisi anajirahisi sana, sijui nani anayemshauri kufanya collabo kilasiku, nahisi hata siku akikutana na mimi atanikubalia kolabo ya kinyimbo changu cha singeli[emoji3][emoji3][emoji3]. Aisee apunguze collabo watu wataizoea sauti yake watamchoka, afanye chache zinazoweza kumpeleka mbele, sio za wadwanzi kina QChilla hazitamfikisha popote, maana amefanya nyingi mno mwakahuu lakini ni chache zilizoweza kupenya
Ikiwa chuki yako inakuingizia kipato, basi endelea kuishi maisha ya kichawi pasipo kujua, Lakini ikiwa ni kwa sababu ya ushabiki na wewe umeamua kufuga chuki basi pasi na shaka wewe ni JINGA
Unajua ulichokiandika?
 
Team chuki na roho mbaya naona mnatamba tu! Mtakufa kwa chuki muacheni awe na maisha yake, akiwa wcb mlikuwa mkimsifia na kumuona bonge la muimbaji katoka maneno kila siku, wanaume mnakuwa kama wanawake wa Tandale kwa Tumbo wanaobadilika kutegemea na bwana walienae kwa wkt huo!
 
Back
Top Bottom