GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Babu Harusi hiyo iache M23 vipi hukoMkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.
Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.
Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
nami naungana nawe kumuombea itimieMkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.
Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.
Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
wanavyosema hunazo kumbe kweli. Mwanaume kwl rijali unaweza kufuatilia mambo ya harusi ya wenzio? Tukisema wamebaki wanaume wachache sana utabisha?
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.
Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.
Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
Inakuhusu nini wewe idiot?
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.
Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.
Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.