Miji ya slums hii ambayo kila mtu anafanya analojiskia ndio iwe na park?Habari wadau wa jukwaa la ujenzi.
Mimi ni mama wa watoto wadogo watatu.
Ninaishi katika jiji la Dar es Salaam mitaa ya Temeke. Yaani huwa natamani kuwapeleka watoto wangu sehemu ya kucheza karibu na nyumbani lakini hakuna, yaani wazungu wanaita park.
Tumeshidwa kabisa kuweka sehemu kama hizi kwa ajili ya mapumzuko au jumuiko la wakazi. Kila sehemu ni bar tu.
Tufanyeje tuweze kupata sehemu kama hizi. Sio tu kwenda kubanana Coco Beach ma kulazimishwa kula mihogo na mishikaki hata kama hitaki.
Bora wewe umewaza mbali.Hakuna kitu kizuri kuishi maisha katika sehemu ya kupendeza.Shida sio kuanzisha sehemu za namna hiyo,shida ya nchi yetu ni poor management
maeneo ya hivyo yakianzishwa usimamizi utakua mbovu,wafanyakazi hawatolipwa na hela
ikipatikana itakua inaenda mifukoni mwa watu end of the day eneo linauzwa kwa mwenye pesa zake
nina plan ya kutengeneza kitu ya namna hii nnje ya mji huko,nishapata heka 50 zangu kazi ya kupanda miti
inaendelea huko,kamradi kangu ka uzeeeni maana hizi nguvu najua kuna muda zitakata,1 ya miradi yangu ya uzeeni,n huo.
Ni kweli watu wetu wana imani katika uchawi sana.Miji ya slums hii ambayo kila mtu anafanya analojiskia ndio iwe na park?
Hayo mambo huwa yanaendana na elimu, ustaarabu na maisha mazuri, haiwezekani kwenye Nchi zilizojaa maskini hivi na watu wanaoamini kwenye witchcraft.
labda tukianza kwa kujitolea vikundi mbalimbali kila weekend tunaweza kubadilisha hizi sehemu zikawa za kistaarabu.Naungana nawe katika hili..kila sehemu ya wazi kama sio bar, basi ni garage au kituo cha mafuta nk
Mawazo mazuri sana haya,ila kama hujaish nnje ya Tanzania huwezi kuyaona umuhimu wake,kwa hakika inasikitisha namna ujenzi wetu ulivo,wenye akili walituachia,walipo ondoka viongozi wasiojitambuwa wamejenga kila sehemu hata viwanja vya kuchezea watoto... Angalia Shaulimoyo walivoicha wenye akili na hali ilivo leo?Habari wadau wa jukwaa la ujenzi.
Mimi ni mama wa watoto wadogo watatu.
Ninaishi katika jiji la Dar es Salaam mitaa ya Temeke. Yaani huwa natamani kuwapeleka watoto wangu sehemu ya kucheza karibu na nyumbani lakini hakuna, yaani wazungu wanaita park.
Tumeshidwa kabisa kuweka sehemu kama hizi kwa ajili ya mapumzuko au jumuiko la wakazi. Kila sehemu ni bar tu.
Tufanyeje tuweze kupata sehemu kama hizi. Sio tu kwenda kubanana Coco Beach ma kulazimishwa kula mihogo na mishikaki hata kama hitaki.
Kuwaita watized wavivu ni kuwakosea sio kweli hatakidogo kazi hamna. Wapi kuna kazi na malipo japo iwe alfu 20 tu kwa siku uone watakavomiminika. Au unataka walime mahindi Dar?Bora wasiweke na wakiweka kuwe na viingilio kuanzia teni kwenda juu, jobles wasije wakageuza makao yao ya kuzugia watz wengi ni wavivu wavivu ndio mana likitokea tukio utawakuta wamejazana kumbe lengo wapate pakupotezea muda shenziiiii kbs
Ila Mkuu kuna aina sita za uvivu mi naongelea ile ya sita[emoji12][emoji12][emoji12]Kuwaita watized wavivu ni kuwakosea sio kweli hatakidogo kazi hamna. Wapi kuna kazi na malipo japo iwe alfu 20 tu kwa siku uone watakavomiminika. Au unataka walime mahindi Dar?
Brainless skull... cha ajabu wamekupa likes kwa huu ugoro wakoIshu mbona ndogo. Nunia nyumba ya mtu kisha uibomoe alafu apo upafanya Park, wewe na familia yako pamoja na watu wengine mpumzikie.
Bingo[emoji39][emoji39]
Huku bara sehemu za ku chill ni Bar, yaani imefikia wazazi wanaenda bar na watoto...Zanzibar wanajitahidi sana katika hili. Japo kuna kiingilio kidogo ila hukosi sehemu za kuchill na familia na kula upepo zinazomilikiwa na serikali
Na sasaivi wizara ipo chini ya crown prince, watacheza kwenye balconyOpen space zote zinakaliwa kisiasa...
Hebu ifafanue mkuu,Ila Mkuu kuna aina sita za uvivu mi naongelea ile ya sita[emoji12][emoji12][emoji12]
Kweli mkuu kama mtaani kwetu kuna maeneo mazuri sana tengefu kwa kupumzika lakini yoote yamegeuzwa garage!Habari wadau wa jukwaa la ujenzi.
Mimi ni mama wa watoto wadogo watatu.
Ninaishi katika jiji la Dar es Salaam mitaa ya Temeke. Yaani huwa natamani kuwapeleka watoto wangu sehemu ya kucheza karibu na nyumbani lakini hakuna, yaani wazungu wanaita park.
Tumeshidwa kabisa kuweka sehemu kama hizi kwa ajili ya mapumzuko au jumuiko la wakazi. Kila sehemu ni bar tu.
Tufanyeje tuweze kupata sehemu kama hizi. Sio tu kwenda kubanana Coco Beach ma kulazimishwa kula mihogo na mishikaki hata kama hitaki.
Mkuu niliwahi kushughulikia maeneo ninapoishi Diwani akaniijia juu " nitakuhamisha mtaa" nika muuliza na nyumba utanibebea? Nikapiga mkwara mzito kuwa KUANZIA SASA SITAKI KUONA CHUMA LA MTU MBELE YA NYUMBA YANGU MITA 6 NA NJIA YA KUTOKEA BARABARANI IWEPO ! Katii gereji ipo ila ni umbali wa mita 6 toka kwangu na barabara ipo wazi ikilenga nyumba yangu.Ni kweli kabisa. Kwanza tuanzie na kuwa na Mipango madhubuti AKILINI mwetu (i.e. Tuelimishane hadi tuive kabisa kwanza) ndipo tuingie kwenye Mchakato wa kuyaanzisha. Mbona Maeneo wazi yapo (Open spaces zipo) lakini kama Ulivyobainisha na pia Wadau walivyosema hapo juu, huvamiwa na Hakuna anayesimama na kukemea jambo hilo kwa madai eti --"Usiwabughudhi wapiga kura wangu.."
Inasikitisha.watoto wanajifunza nini?Huku bara sehemu za ku chill ni Bar, yaani imefikia wazazi wanaenda bar na watoto...
Ukisikia Siasa za Mvurugano ndo hizo. Kisebusebu na kiroho papo. Maeneo wazi wanayataka lakini maslahi binafsi yanawekwa mbele.Mkuu niliwahi kushughulikia maeneo ninapoishi Diwani akaniijia juu " nitakuhamisha mtaa" nika muuliza na nyumba utanibebea? Nikapiga mkwara mzito kuwa KUANZIA SASA SITAKI KUONA CHUMA LA MTU MBELE YA NYUMBA YANGU MITA 6 NA NJIA YA KUTOKEA BARABARANI IWEPO ! Katii gereji ipo ila ni umbali wa mita 6 toka kwangu na barabara ipo wazi ikilenga nyumba yangu.
Wengine wamejaziwa machuma hata pakutokea ni shida!