CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Shida sio kuanzisha sehemu za namna hiyo,shida ya nchi yetu ni poor management
maeneo ya hivyo yakianzishwa usimamizi utakua mbovu,wafanyakazi hawatolipwa na hela
ikipatikana itakua inaenda mifukoni mwa watu end of the day eneo linauzwa kwa mwenye pesa zake
nina plan ya kutengeneza kitu ya namna hii nnje ya mji huko,nishapata heka 50 zangu kazi ya kupanda miti
inaendelea huko,kamradi kangu ka uzeeeni maana hizi nguvu najua kuna muda zitakata,1 ya miradi yangu ya uzeeni,n huo.
maeneo ya hivyo yakianzishwa usimamizi utakua mbovu,wafanyakazi hawatolipwa na hela
ikipatikana itakua inaenda mifukoni mwa watu end of the day eneo linauzwa kwa mwenye pesa zake
nina plan ya kutengeneza kitu ya namna hii nnje ya mji huko,nishapata heka 50 zangu kazi ya kupanda miti
inaendelea huko,kamradi kangu ka uzeeeni maana hizi nguvu najua kuna muda zitakata,1 ya miradi yangu ya uzeeni,n huo.