MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #41
Mi siuzi chura mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siuzi chura mkuu
Sina wazazi .Nithibitishie apa kuwa wazazi/mmoja wa wazazi wako hatumii Facebook
Mkuu nahitaji simu Ndugu yangu, nipe mwongozomfanyabiashara wa simu mkuu, karibu
kule unanunua jombaaMi siuzi chura mkuu
+255 676721372Mkuu nahitaji simu Ndugu yangu, nipe mwongozo
Kumbe unanunua na unapotosha vijana wenzio humu wasiache punyeto😅kule unanunua jombaa
kule wamejaa wa chuo tu, mbele ya totoz za chuo,Kumbe unanunua na unapotosha vijana wenzio humu wasiache punyeto😅
Una akili sana mkuu.Hamna mtandao wenye wateja wengi kibiashara kama Facebook🤑
Umeongelea Tinder umenikumbusha mbali sana ..kule wamejaa wa chuo tu, mbele ya totoz za chuo,
BabyCare huwa naweka pembeni kwa mda
hamkupasha ?kila mtu akabaki kumshangaa mwenzie.
Hapana mkuuhamkupasha ?
mimi natumia siwezi achaHello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Wapi hakuna matapeli mkuuUna matapeli wengi sana
HahaaaaShida pekee ya FB ni aina ya hizi notifications
"Fatuma Ramadhani is feeling pregnant with you and 37 other friends"