Pre GE2025 Kwanini hawakamatwi kwenda kulisaidia Jeshi la Polisi baada ya kutenguliwa? Ni mpaka wawe wapinzani?

Pre GE2025 Kwanini hawakamatwi kwenda kulisaidia Jeshi la Polisi baada ya kutenguliwa? Ni mpaka wawe wapinzani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
 
Jeshi linajitosheleza, halihitaji msaada wa mtu, na likihitqji, basi atakuwa raia mwema, sio mhalifu kama Mdude Nyagali
 
Nendeni mahakamani mumfungulie kesi....

Mahakama huzijui ?!!

Tafsiri ya sheria iko mahakamani na si POLISI.....
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
Acha kuwaza njia zilizoshindikina, TUMIA NJIA BORA ZAIDI YAO.... wanadhania wao ndo wanakuwa zaidi ya WENGINE...
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
Ndio double standard yenyewe, angekuwa chadema sahizi yupo central ila ni wa ccm hutomsikia akiguswa
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
Unataka Mfalme avuliwe nguo hadharani??
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?

Luka 12:2-4

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi.
 
Wakuu,

Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.

Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu polisi wala wasijisumbue kuwatafuta, zaidi kwenye hilo soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Polisi wala hawakufanya lolote, tukaishia kupata kauli tu za viongozi CCM ooh ni kijana tu ameteleza, mara hatukubaliani na alichosema, ikaisha hivyo, na sasa tunaona kweli watu wanapotezwa kama alivyosema na polisi wala hawajisumbui mpaka wanaagizwa na mahakama kufanya kazi yao!

Leo mwingine karudia yaleyale sema kwa lugha nyingine tu, kuwa kipindi kile walifanya na sasa wamejipanga kufanya tena. Kikubwa wanachofanya ni kutengua, kuonya kishkaji na kuja na matamko yao ya maigizo kuwa alichosema siyo msimamo wa chama!

Zaidi soma hapa: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Wahalifu wanasema waziwazi ushiriki wao kwenye matukio hayo kwanini hawachukuliwi hatua kwenda kulisaidia polisi? Au mpaka wawe wapinzani ndio wanastahili kuchukuliwa hatua?

Polisi/Serikali mtaendelea kufumbia macho hayo mpaka lini? Mpaka wananchi wanaanze kushungulika na watu hawa kwa namna wanayoona inafaa kwakuwa nyie mmewaangusha?
Kwa sababu hatumbuliwi kwa sababu ya kusema watapoteza watu. Wanatumbuliwa kwa kutoa ukweli wa umafia wa CCM.
 
Ndio double standard yenyewe, angekuwa chadema sahizi yupo central ila ni wa ccm hutomsikia akiguswa
Tanzania tuna shida kubwa. Pengine elimu? Kumbe watu wazima tena wenye uwezo wa kutumia internet hamjui hata ni kwa nini mtu kama huyo DC katumbuliwa? Wewe huoni katumbuliwa kwa sababu ya kusema ukweli kuwa CCM wanaiba kura?
 
Tanzania tuna shida kubwa. Pengine elimu? Kumbe watu wazima tena wenye uwezo wa kutumia internet hamjui hata ni kwa nini mtu kama huyo DC katumbuliwa? Wewe huoni katumbuliwa kwa sababu ya kusema ukweli kuwa CCM wanaiba kura?
Sio kuiba kura tu bali na kuua watu kwenye mapori
 
Tanzania tuna shida kubwa. Pengine elimu? Kumbe watu wazima tena wenye uwezo wa kutumia internet hamjui hata ni kwa nini mtu kama huyo DC katumbuliwa? Wewe huoni katumbuliwa kwa sababu ya kusema ukweli kuwa CCM wanaiba kura?

Sasa shida yake ni nini? Mtu akiwa na mawazo todauti na ulichofikiria basi ana tatizo kwenye elimu yake?
 
Jeshi linajitosheleza, halihitaji msaada wa mtu, na likihitqji, basi atakuwa raia mwema, sio mhalifu kama Mdude Nyagali

🤣🤣🤣 nasubiri kibao kigeuke wakunyooshe huko tuone kama utarudia huu upuuzi wako hapa
 
Mbona chadema kila siku mkileta kauli za uchochezi hamkamatwi??

Kunguni nyingine hii hapa, yaani wapewe tabu sababu ya maandamano ambayo ni haki yao afu wathubutu kutamka jambo hili na wabaki salama?
 
Nendeni mahakamani mumfungulie kesi....

Mahakama huzijui ?!!

Tafsiri ya sheria iko mahakamani na si POLISI.....

Kunguni tunasubiri siku ukiguswa kama utasema haya... tusiumize vidole kuandikia mtu anayefanana na ukuta
 
Back
Top Bottom