Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Hayati Magufuli alikuwa akijitabiria kifo mara kwa mara, je alijua kwa kutetea maslahi ya nchi ndio ingekuwa mwisho wa uhai wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa master wa deception.Alijua afya yake ikoje.
Maslahi gani?Hayati magufuli alikuwa akijitabiria kifo mara kwa mara, je alijua kwa kutetea maslai ya nchi ndio ingekuwa mwisho wa uhai wake?
View attachment 2422626
Naamini wewe akili kichwani hazimo.Alijua afya yake ikoje.
Naamini wewe akili kichwani hazimo.Nothing special
Ni vile alijua yeye ni binadamu,kifo hakiepukiki
Sasa afya yake inahusika vipi na kuzungumza ukweli?Alijua afya yake ikoje.
Basi imani yako imekuponyaNaamini wewe akili kichwani hazimo.
Naamini wewe akili kichwani hazimo.Maslahi gani?
kabisa, nchi hii tungepata rais kama Moringe Sokoine na akaja Dkt Magufuli nina uhakika nchi yetu ingekuwa tajiri sana na maendeleo makubwa. Kilichopo sasa ni kuibiwa kutumia elimu na tamaaAlikuwa na maono na alijua kwa jinsi alivyojiweka, ila hakujua kivipi na lini.
Hakika anakumbukwa sana na wengi, nyuzi zake bado zatawala JF.
Kazi iendelee
Maono yake haswa yepi ?Alikuwa na maono na alijua kwa jinsi alivyojiweka, ila hakujua kivipi na lini.
Hakika anakumbukwa sana na wengi, nyuzi zake bado zatawala JF.
Kazi iendelee
Alitulete movie ( loyo tua) sasa watalii wanamikinika mamia kwa maelfuKwa miaka yake sita alitetea vipi nchi ?
Alifaham fika kila kilichozaliwa na kiumbe cha kike ni lazma umauti ukifikie
Na yeye aliufahamu hali ake ya kiafya ipoje
Ni kweli ni miongoni mwa maono ya JPM alieshindwa kukamilisha mchakato wa katiba mpya na badala ake akawa ananyoosha nchi .Alitulete movie ( loyo tua) sasa watalii wanamikinika mamia kwa maelfu
Lilikuwa linaumwa miaka 20 kabla, na ugonjwa ulishakomaa na kufikia mwishoHayati Magufuli alikuwa akijitabiria kifo mara kwa mara, je alijua kwa kutetea maslai ya nchi ndio ingekuwa mwisho wa uhai wake?
View attachment 2422626