Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Duh...Lilikuwa linaumwa miaka 20 kabla, na ugonjwa ulishakomaa na kufikia mwisho
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...Lilikuwa linaumwa miaka 20 kabla, na ugonjwa ulishakomaa na kufikia mwisho
Maono yake haswa yepi ?
Sema unamkumbuka sana wewe na mnaefanana nae tabia ya kikatili
Tuwe wavumilivu labda Dr Bashiru atatuambia mafisadi walichomfanya
Sio wewe mpiga zumari wakeUliyoandika umejiandika wewe.. kabisaaaaaa..
Eti eehHakuna chochote alichofanywa
Jina adabu panya weweAlijua afya yake ikoje.
Hayati Magufuli alikuwa akijitabiria kifo mara kwa mara, je alijua kwa kutetea maslahi ya nchi ndio ingekuwa mwisho wa uhai wake?
View attachment 2422626
Comments za wazee wa vijiweni utazijua tu!Alikuwa master wa deception.
Uliza jamaa waliokuwa karibu wizara ya ujenzi.
Mtafute kijana mwenzio Ben Saanane akuhadithie.Comments za wazee wa vijiweni utazijua tu!
Master au siyo sasa ndio truth twendeAlikuwa master wa deception.
Uliza jamaa waliokuwa karibu wizara ya ujenzi.