Kwanini Hayati Magufuli alikuwa anapenda kwenda mara kwa mara Chato na kukaa huko kuliko Ikulu?

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Enzi za uhai wake hayati Magufuli, aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 alitumia muda mwingi kuwa kijijini kwao Chato kuliko Ikulu.

Magufuli asingeweza kumaliza wiki 3 bila kukanyaga Chato tofauti na Marais wenzake. Kupenda kwake kwenda Chato ikasababisha tupate ikulu ndogo ya Chato.

Chato kulikuwa na u-special gani hasa?

 
Ata JK kipindi akiwa Rais,kila Jumamosi msululu wa magari ulikuwa unaelekea Msoga nyumbani kwake na anarudi Jumapilli jioni.Miaka hiyo nilikuwa naishi Tegeta!
 
Hiyo historia imeshapitwa na wakati.
Tugange yajayo.
Bandari.
 

Hamshindi majaliwa

Kwa ishu ya kurudi kwao,
 
Mtu kwenda kwao kuna ubaya gani?

Home sweet home.

Hujui tu raha ya kurudi bush ukapiga story na washkaji zako uliosoma nao na kukua nao.

Hasa ukienda una mafanikio kidogo heshima unayopata kutoka kwa wadau ni kubwa sana na ina impact kubwa sana kwenye akili/psychology ya mtu kuliko kitu chochote.

Home is so sweet.
 
Sasa si ni kwao? Mbona huulizi kwanini alizikwa Chato badala ya Chamwino pale au Magogoni?
 
Yule alikuwa mshirikina
 
Huu ujumbe unafikirisha sana

Ngoja tusubiri kengere
 
Lazima aende akalishe damu yale madubu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…