Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mjinga anaweza kusema chochote bila ushahidiYule alikuwa mshirikina
Alikuchawia kitu gani na wananchi wote mpaka sasa yeye ndio yumo mioyoni mwao?Mtu mjinga anaweza kusema chochote bila ushahidi
Afadhali hakujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa Msoga.Ata JK kipindi akiwa Rais,kila Jumamosi msululu wa magari ulikuwa unaelekea Msoga nyumbani kwake na anarudi Jumapilli jioni.Miaka hiyo nilikuwa naishi Tegeta!
Ulitaka awe anaenda UKEnzi za uhai wake hayati Magufuli, aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 alitumia muda mwingi kuwa kijijini kwao Chato kuliko Ikulu.
Magufuli asingeweza kumaliza wiki 3 bila kukanyaga Chato tofauti na Marais wenzake. Kupenda kwake kwenda Chato ikasababisha tupate ikulu ndogo ya Chato.
Chato kulikuwa na u-special gani hasa?
View attachment 2695414
Haya wahi kwa mumeoUkishajua sasa hivi 8natusaidia nini kimaendeleo kama taifa!
Badala ya kuwaza Hoja Hai wewe umekariri
"Hoja Mfu"
Shame on You!
Nilitaka awe anaenda kwa mumeoUlitaka awe anaenda UK
Mbona samia akienda kwao mnamsakama mbulula nyie!?Ushasema kwao bado tena wauliza uspecial gani.... wewe hupapendi kwenu?
Samia akienda kwao mnamsakama kkkenge na wanafki wakubwa nyieUlitaka awe anaenda UK
Unatafuta kiki chizi wewe, peleka ujinga wako kwa wapuuzi wenzioMbona samia akienda kwao mnamsakama mbulula nyie!?
Ni aina tu ya utaratibu wa mtu na hapakuwa na makosa.kipi bora kula kwa urefu wa kamba na mtu kwenda kusalimia wananzengo wenzake?au kujaza wafanyabiashara kwenye kabineti na mtu kwenda kwao?Enzi za uhai wake hayati Magufuli, aliyepata kuwa Rais wa awamu ya 5 alitumia muda mwingi kuwa kijijini kwao Chato kuliko Ikulu.
Magufuli asingeweza kumaliza wiki 3 bila kukanyaga Chato tofauti na Marais wenzake. Kupenda kwake kwenda Chato ikasababisha tupate ikulu ndogo ya Chato.
Chato kulikuwa na u-special gani hasa?
View attachment 2695414
Upo mp bilashaka, kkahaba wewe!Unatafuta kiki chizi wewe, peleka ujinga wako kwa wapuuzi wenzio
Na ushukuru wasiwe wachawi! Sehemu nyingine hukienda hurudi!Mtu kwenda kwao kuna ubaya gani?
Home sweet home.
Hujui tu raha ya kurudi bush ukapiga story na washkaji zako uliosoma nao na kukua nao.
Hasa ukienda una mafanikio kidogo heshima unayopata kutoka kwa wadau ni kubwa sana na ina impact kubwa sana kwenye akili/psychology ya mtu kuliko kitu chochote.
Home is so sweet.
Hii kura iiishaje kwa nani kuchukua nishani?Alikuchawia kitu gani na wananchi wote mpaka sasa yeye ndio yumo mioyoni mwao?
Huoni kwamba hata mkienda kwenye uchaguzi sasa hivi atawashinda mtu asiyekuwepo duniani?
View attachment 2761802