Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Hata ndani ya familia yake kuanzia Mama mzazi hadi mkewe mama Jamet walikuwa hawampendi.

Mama mzazi alimuonya sana JK kuhusu kumteua Magufuli kuwa mgombea wa uRais, aliwaambia mtajuta. Na tulijuta kweli kwa miaka 5
 
Jimbo la Magufuli lilikuwa ni Tanzania nzima sio Chato unakong'ang'ania kutaka kuwaaminisha watu
 
Jimbo la Magufuli lilikuwa ni Tanzania nzima sio Chato unakong'ang'ania kutaka kuwaaminisha watu
Ungepata D mbili form four ungeelewa kuwa magufuli alikuwa mbunge kwa miongo takriban miwili jimboni chato na ndiko alikizikwa japo alizaliwa burundi
 
Ungepata D mbili form four ungeelewa kuwa magufuli alikuwa mbunge kwa miongo takriban miwili jimboni chato na ndiko alikizikwa japo alizaliwa burundi
Wewe mwathirika wa madawa haramu. Kabla hajafa alikuwa mbunge au rais? Wewe hata maiti yangu hauwezi kuizidi elimu na matumizi yake
 
Wewe mwathirika wa madawa haramu. Kabla hajafa alikuwa mbunge au rais? Wewe hata maiti yangu hauwezi kuizidi elimu na matumizi yake
Yaani kuna vilaza ila we ni kiboko,hata nwanangu wa darasa la pili anakuzidi akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…