Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Uongo umekuwa mwingi kwenye huu uzi,,
Huyo Goro enzi za ndg yake hadi tiss walikuwa na zamu ya kumlinda eti leo alinyanyaswa watu ni waongo kinoma
Nachojua mapenzi kww mama yake yalitokana na historia yake, mama yake aligombana na mumewe(Joseph) akaamua kurudi kwao visiwani nkome katika kipindi hicho akapata hawara (baba mzazi wa hayati na inasemekana alikuwa muhaya) ndipo kupata ujauzito wa hayati John, akarudi kww mumewe akiwa mjamzito mume haikumpendeza ikawa magomvi juu ya ujauzito, ila hakuwa na namna akampokea mimba ikalelewa mtoto akazaliwa na maisha mengine yakaendelea, akaongeza watoto wengine, kwahiyo Magufuli hapo ni kwa baba yake wa kambo, sio baba mzazi, katika makuzi hayati alibaguliwa na huyo baba wa kambo ni mama yake tu ndiye alikuwa mtetezi wake hata shule mama yake ndie alipambana asome sababu baba yake wa kambo hakutaka hayati aende shule hivyo alikuwa akimtuma sana kwenda machungani,, hata wakati wa kugawa ardhi hayati hakugawiwa ardhi ya urithi ikabidi mama amfanyie mpango kijana wake kununua ardhi katika familia hiyo hiyo maana kanda hiyo pasipo urithi wa ardhi unaonekana km huna kwenu, ndipo hayati kupata ardhi na akawa km mmoja wa wanafamilia na akauziwa shamba la pembeni huko km kumtupa(Rubambangwe),

Huyo ndugu aliyemfanyia ukatili ni moja ya wale waliokuwa wakimbagua na kumkataa enzi akiwa mdogo hata mie ningekuwa kwenye nafasi hiyo ningemuonesha tu kuwa mi ni nani

Punguzeni uongo uongo, mara uchawi wa mama yake,, kww hadithi hiyo kwanini asimpende mama yake ndo ndg yake wa kweli aliyempambania ktk mazingira magumu mpaka kufikia uraisi,, kifo cha dada yake kilimuumiza sana sababu ndiye ndg aliyekuwa akimuhudumia mama yake kwa ukaribu na hata alivyofariki mama yake alitetereka sana kiafya
Unaona, watu wabaya wanabuni stori zao tu
 
Kiburi na dharau dhidi ya wazee wake wa Chato ni moja ya vitu vilivyomuangusha sana .

Wakati mmoja akiwa na ziara jimboni Chato , Wazee walimuomba awawekee lami kwenye barabara yao , wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi , lakini pia alikuwa mbunge wao , Magufuli aliwashambulia wazi wazi wazee wale kwamba yeye siyo Waziri wa Chato bali ni waziri wa Tanzania nzima , hivyo hawezi kuwapendelea wao ili wapate lami , na kwamba KAMA WANATAKA LAMI WANYE MAVI YAO WAYASILIBE BARABARANI IWE LAMI .

Watu wote walishangazwa na kauli ile na hiyo ni moja ya kauli iliyomfanya achukiwe kwao , huyu mahusiano yake na wananchi yalirejea baada ya kuteuliwa kugombea Urais baaasi , hakuwa na ushawishi wowote kabla ya hapo
Hahaha 😂
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Well done!

Andiko lako lina kiwango kikubwa cha ukweli na uhalisia.
 
Mkuu hapa umepiga msumari wa moto ki ukweli mwamba hakuwa na maneno matamu sana mara nyingi ukweli huwa sio mtamu kama uongo ila kwenye utendaji ndipo alipogusa nyoyo za watu.
Hakuwa na hekima wala busara - hivyo hakuwa kiongozi wala mtendaji mzuri.
Ndio maana dr. Diallo akasema "shujaa" alikuwa Mwendawazimu.

Kiongozi yeyote mzuri na mwenye weledi hawezi toa yale maneno hadharani!
Na alithibitisha jinsi alivyokuwa katili, aliporudia tena maneno kama hayo kwenye uzinduzi wa Bus Stand wiki chache kabla ya umauti wake.

No excuse. No defense
whatsoever can exonerate him from ukora na upumbavu wake.
 
Pascal uko sahihi kuna majinga yamefanya aonekane mkatili,kuna vitu yalifanya bila yeye kushirikishwa,na alikuwa anabadilika kuwa mwema kadri siku zinavyoenda.
Hapo umekosa standing, tambua ukweli hautaki unafiki. Ukweli ni ukweli, basi.

Sasa kama "...alianza kubadilika kuwa mwema kadiri siku zilivyoenda" ni sahihi kabisa kuwa alianza akiwa MKATILI NA MWOVU. Na andiko lako na rekodi zote za uhai wake zinathibitisha kuwa Magufuli alikuwa nyang'au.

Nikukumbushe kuwa, madaraka hayajwahi kumfanya binadamu kuwa mwema; bali HUMDHIHIRISHA tu alivyo.
"Power Corrupts".
Hivyo inabidi uwe mwema na bora sana KABLA ya kupata cheo na madaraka ili usiweharibikiwe, sio kinyume chake.

Hayati Magufuli tayari alikuwa na historia za kuua, kuteka, visasi, rushwa, wizi, ufisadi, unafiki, uongo nk nk toka miaka ya 1990s. Yaani lilikuwa kosa kubwa na doa kubwa kwa Taasisi zetu za vetting - yule mwehu alikuwa Rais wa Tz.
Matukio ya wizi wa kura na uharibifu wa chaguzi za 2019 na 2020 vilikuwa ni mwendelezo wa matendo yake toka zamani huko Biharamulo na baadaye Chato. Hakuwahi kuheshimu "tofuati" za maoni au mawazo au maamuzi.

Siku moja na mimi nitaandaa nilivyomfahamu.
 
Huna unachojua kuhusu Chato na jinsi watu walivyompenda - CDM akili zenu mnazijua wenyewe.

Ni sahihi 1990 aligombea lkn hakushinda sbb ya uchanga na uwezo mdogo wa kifedha;

Mwaka 1995 baada ya jimbo kugawanywa - Chato alipambana na Mabina Nyororo Meneja wa Nyanza akiwa na fedha nyingi lkn CCM wakamchagua JPM kwa upendo mkubwa;

Chaguzi zilizofuata wananchi ndio waliomchukulia fomu na aliwabwaga mbali wapinzani wake;

Magufuli, ni MTU alopendwa sana hapa Chato
 
Mwandishi unahitaji huruma ya kuaminisha umma yasioaminika huwezi kuhukumu kitoto hivi kwa hoja za kitoto namna hii tuliosoma Cuba tunasema umeyakanyaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Rudi darasani
Tuambie ukweli ni upi?
Talking a lot and saying nothing.
 
Huna unachojua kuhusu Chato na jinsi watu walivyompenda - CDM akili zenu mnazijua wenyewe.

Ni sahihi 1990 aligombea lkn hakushinda sbb ya uchanga na uwezo mdogo wa kifedha;

Mwaka 1995 baada ya jimbo kugawanywa - Chato alipambana na Mabina Nyororo Meneja wa Nyanza akiwa na fedha nyingi lkn CCM wakamchagua JPM kwa upendo mkubwa;

Chaguzi zilizofuata wananchi ndio waliomchukulia fomu na aliwabwaga mbali wapinzani wake;

Magufuli, ni MTU alopendwa sana hapa Chato
MAbina nyororo anatoka familia ya majambazi kwelikweli haoa wana kesi ya kumuua ndugu yao recently,watu hawakumpenda nyororo sababu ya historia ya familia yao
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Nilisikia hajawahi kushinda uchaguzi zaidi ya kupora kwenye jimbo lake.

Akiwa Rais Uchaguzi wa vijiji 2019, Kijijini kwake alishinda Chadema.
 
Back
Top Bottom