Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Uchaguzi gani wa 2022?!, aliunajisia wapi wakati alikuwa tayari yuko 6ft under?!.
I know you ment uchaguzi wa 2020!, kiukweli sio yeye ni yale majinga kule 'sehemu' yalimponza!.
P.

Sio kweli maana tabia ya wizi wa kura anayo toka akiwa mbunge. Hakuna ubunge aliwahi kushinda kihalali. Tabia zake binafsi ndio alizihamishia kwenye cheo chake cha urais. Hao wajinga unaowasema walitekeleza alichotoka yeye.
 
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
Duuuh
 
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
Nimecheka kama mazuri vile
 
Mkuu paschal Mayalla, usimtete huyo bro wako.
1. nenda kwa sende, alinyimwa umeme wakati nguzo ya tanesco wilaya ndo angeitumia. kisa dr sende aliutaka ubunge 2005. fast boti zikanyimwa kibali.

2. mwaka 2010 kuna dogo anaitwa deusdedith katwale aligombe ubunge kupitia ccm, mwamba alipopata urais akampa uhujumu uchumi, katolewa na maza.
3. mwaka 2010 hiyo dr lukanima, wa mzumbe alitaka ubunge kupitia chadema, alifukuzwa kaz alipopata ukulu.

MUNGU NI WA KUSHUKURU SANA, AMINA.
Hakika Mungu anaipenda Tanzania
 
Uongo umekuwa mwingi kwenye huu uzi,,
Huyo Goro enzi za ndg yake hadi tiss walikuwa na zamu ya kumlinda eti leo alinyanyaswa watu ni waongo kinoma
Nachojua mapenzi kww mama yake yalitokana na historia yake, mama yake aligombana na mumewe(Joseph) akaamua kurudi kwao visiwani nkome katika kipindi hicho akapata hawara (baba mzazi wa hayati na inasemekana alikuwa muhaya) ndipo kupata ujauzito wa hayati John, akarudi kww mumewe akiwa mjamzito mume haikumpendeza ikawa magomvi juu ya ujauzito, ila hakuwa na namna akampokea mimba ikalelewa mtoto akazaliwa na maisha mengine yakaendelea, akaongeza watoto wengine, kwahiyo Magufuli hapo ni kwa baba yake wa kambo, sio baba mzazi, katika makuzi hayati alibaguliwa na huyo baba wa kambo ni mama yake tu ndiye alikuwa mtetezi wake hata shule mama yake ndie alipambana asome sababu baba yake wa kambo hakutaka hayati aende shule hivyo alikuwa akimtuma sana kwenda machungani,, hata wakati wa kugawa ardhi hayati hakugawiwa ardhi ya urithi ikabidi mama amfanyie mpango kijana wake kununua ardhi katika familia hiyo hiyo maana kanda hiyo pasipo urithi wa ardhi unaonekana km huna kwenu, ndipo hayati kupata ardhi na akawa km mmoja wa wanafamilia na akauziwa shamba la pembeni huko km kumtupa(Rubambangwe),

Huyo ndugu aliyemfanyia ukatili ni moja ya wale waliokuwa wakimbagua na kumkataa enzi akiwa mdogo hata mie ningekuwa kwenye nafasi hiyo ningemuonesha tu kuwa mi ni nani

Punguzeni uongo uongo, mara uchawi wa mama yake,, kww hadithi hiyo kwanini asimpende mama yake ndo ndg yake wa kweli aliyempambania ktk mazingira magumu mpaka kufikia uraisi,, kifo cha dada yake kilimuumiza sana sababu ndiye ndg aliyekuwa akimuhudumia mama yake kwa ukaribu na hata alivyofariki mama yake alitetereka sana kiafya
 
Na bado kwenye uchaguzi mkawapa ccm kura za kutosha. Wamakonde kwa ccm hampindui
Uchaguzi upi tuliwapa CCM kura au unajiongelesha tu? Hebu nikuhesabie jimbo la mtwara mjini tulitumia nguvu mno ya kulinda matokeo mpaka usiku wa manane mbunge wa upinzani akatangazwa,,, jimbo la tandahimba watu walikuwa tayari kwa lolote ilimradi mpinzani atangazwe na kweli wakamtangaza,jimbo la ndanda hali ni hiyo watu walikaba mpaka mpinzani akatangazwA,jimbo la newala ukawa waliongoza kila kitu kuanzia madiwani mpaka kura za raisi na mbunge ila ukatumika ubabe sana captain mkuchika akajitangaza mwenyewe
 
Uongo umekuwa mwingi kwenye huu uzi,,
Huyo Goro enzi za ndg yake hadi tiss walikuwa na zamu ya kumlinda eti leo alinyanyaswa watu ni waongo kinoma
Nachojua mapenzi kww mama yake yalitokana na historia yake, mama yake aligombana na mumewe(Joseph) akaamua kurudi kwao visiwani nkome katika kipindi hicho akapata hawara (baba mzazi wa hayati na inasemekana alikuwa muhaya) ndipo kupata ujauzito wa hayati John, akarudi kww mumewe akiwa mjamzito mume haikumpendeza ikawa magomvi juu ya ujauzito, ila hakuwa na namna akampokea mimba ikalelewa mtoto akazaliwa na maisha mengine yakaendelea, akaongeza watoto wengine, kwahiyo Magufuli hapo ni kwa baba yake wa kambo, sio baba mzazi, katika makuzi hayati alibaguliwa na huyo baba wa kambo ni mama yake tu ndiye alikuwa mtetezi wake hata shule mama yake ndie alipambana asome sababu baba yake wa kambo hakutaka hayati aende shule hivyo alikuwa akimtuma sana kwenda machungani,, hata wakati wa kugawa ardhi hayati hakugawiwa ardhi ya urithi ikabidi mama amfanyie mpango kijana wake kununua ardhi katika familia hiyo hiyo maana kanda hiyo pasipo urithi wa ardhi unaonekana km huna kwenu, ndipo hayati kupata ardhi na akawa km mmoja wa wanafamilia na akauziwa shamba la pembeni huko km kumtupa(Rubambangwe),

Huyo ndugu aliyemfanyia ukatili ni moja ya wale waliokuwa wakimbagua na kumkataa enzi akiwa mdogo hata mie ningekuwa kwenye nafasi hiyo ningemuonesha tu kuwa mi ni nani

Punguzeni uongo uongo, mara uchawi wa mama yake,, kww hadithi hiyo kwanini asimpende mama yake ndo ndg yake wa kweli aliyempambania ktk mazingira magumu mpaka kufikia uraisi,, kifo cha dada yake kilimuumiza sana sababu ndiye ndg aliyekuwa akimuhudumia mama yake kwa ukaribu na hata alivyofariki mama yake alitetereka sana kiafya
Kapeace we unaonekana ni mwanafamilia ya jiwe usibishe,hizi info ni za kweli na wanaozifajamu ni wachache sana
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Inashangaza kina Kikwete walitukosea Sana Kama Taifa kumfanya Rais mtu asiye na maadili na mhuni Kama Magufuli.
 
Kapeace, mpigie simu mayeka simon mayeka, dc wa chunya akupe kisa cha shem wake goro kusulubiwa na joni.

tiss kulinda familia ya rais ni kawaida, hata mkwe wa maza mchengelwa analindwa.

je, wajua kuwa joni aliwalamba mateke wajukuu wa joseph siku ya msiba wa joseph?

je wajua mtoto wa kwanza wa john, suz, mke wa jaji ali.....
 
Kiburi na dharau dhidi ya wazee wake wa Chato ni moja ya vitu vilivyomuangusha sana .

Wakati mmoja akiwa na ziara jimboni Chato , Wazee walimuomba awawekee lami kwenye barabara yao , wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi , lakini pia alikuwa mbunge wao , Magufuli aliwashambulia wazi wazi wazee wale kwamba yeye siyo Waziri wa Chato bali ni waziri wa Tanzania nzima , hivyo hawezi kuwapendelea wao ili wapate lami , na kwamba KAMA WANATAKA LAMI WANYE MAVI YAO WAYASILIBE BARABARANI IWE LAMI .

Watu wote walishangazwa na kauli ile na hiyo ni moja ya kauli iliyomfanya achukiwe kwao , huyu mahusiano yake na wananchi yalirejea baada ya kuteuliwa kugombea Urais baaasi , hakuwa na ushawishi wowote kabla ya hapo
😁😁😁😁 Yule jamaa alikuwa na Laana sio bure 😜😜
 
1.Mkuu kwanza Mkoa unaongoza kwa makabila mengi hapa Tanzania ni Mkoa wa Mara.
2.Kwenye siasa za kiafrika ukabila ni kete muhimu-huwezi ukapewa nafasi ya uwakilishi kama sio mwenyeji ya eneo husika hasa kwa majimbo ya vijijini.Huwezi ukawa Msukuma akaenda kugombea Ubunhe kwenye ambalo lina Wakurya 99%
3.Siasa ni mchezo mchafu duniani kote unatambulika hivyo-hamna haki kwenye siasa aliyetangwaza ndio mshindi haijalishi ameshinda kihalali au hakushinda kihalali,alipendwa au hakupendwa.
4.Magufuli amekuwa Mbunge for 20 years,Kiongozi hata awe mzuri vipi akikaa madarakani kwa muda mrefu watu wataanza kumchukia na kuyompenda-that is human nature.
Hilo la namba 2 Ni uongo sio kwa wote labda jamii duni na ambazo hazijastaarabika.
 
Kapeace, mpigie simu mayeka simon mayeka, dc wa chunya akupe kisa cha shem wake goro kusulubiwa na joni.

tiss kulinda familia ya rais ni kawaida, hata mkwe wa maza mchengelwa analindwa.

je, wajua kuwa joni aliwalamba mateke wajukuu wa joseph siku ya msiba wa joseph?

je wajua mtoto wa kwanza wa john, suz, mke wa jaji ali.....
Kwenye kuamini uchawi tu unajianika wewe ni mtu wa aina gani, huwa sinaga muda kujibizana na mburula, mie niwaulize ili? Itanisaidia nini??
Hivi ndugu aliyezaliwa kwa mazingira hayo unategemea ndugu zake wa kambo walimtreat vipi au unadhani ndg zake walijisikije ndg waliyemkataa na kumbagua ndie kawa mwenye nafasi kubwa na mbeba jina la ukoo(na jina asilo na mahusiano nalo ya kidamu) kwamba wampende!!!,, yani maswali mengine hayahitaji kuingia darasani
 
Back
Top Bottom