Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Joni aliwaogopa sana 1. Ben nkapa 2, jk 3. Lowasa

Hawa ndio walimdekeza. Wakina mahita, mapuli na mkama ndio wakawa mashine za kutekeleza ubabe wake.

Pinda na sumaye alikuwa anawaona kama mawaziri wenzake.

Liedo kuna siku likamtuma NW kwa john kuhusu issue fulani, ritha akijibiwa mbovu, nae akampelekea Yelo kama ilivo.

Edo akamuwakia pombe na kumtaka ajieleze kwa nin asimfutwe kazi. Joni akazima hapo hapo na kupelekwa UJEREMANI (in jiwe voice) na media zikatangaza.

Ni kweli mwamba alikuwa na kibetri mix feruz
 
Kama aliweza kuwaambia huko pwani bakini na mavi yenu atashindwa nini kuwaambia hao wazee wanye mavi yao iwe lami? Mzee alikua anapenda sana mavi hatuelewi kwanini.
😁😁😁😁😁😁 Eti ndio baba wa Pili wa wapumbavu fulani 🤣🤣
 
Nabii hakubaliki nyumbani.

Niliwahi shuhudia ktk mkutano ambao Mwl Nyerere alikuwa akimnadi Mr Mkapa uwanja wa mkendo musoma mjini,

Umma ulikuwa ukimzomea mara Kwa mara na akalazimika kukatisha hotuba yake mara Kwa mara,

Watu walipoona anawapuuzia na kuendelea kuongea, wahuni walirnda kumleta mtu aliyefahamika Kwa Jina la KIBOKO aliyekuwa ndugu wa Nyerere ambaye nati zote hazikuwa zimekaza,

Alipofika mkutano I, Mwl Nyerere ikamlazimu kukatisha mkutano wake.

All in all Magu anakubalika na wengi kuliko wasiomkubali.

Tunamshukuru Mungu Kwa zawadi ya Magu.

Aamen.
Weka rekodi sawa,anakubalika na wajinga wengi wasioelewa Nini wanataka
 
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
Sasa mtu wa hivyo Ni binadamu kweli au mnyama? Sijui aliwezaje kuwa Rais
 
Uongo umekuwa mwingi kwenye huu uzi,,
Huyo Goro enzi za ndg yake hadi tiss walikuwa na zamu ya kumlinda eti leo alinyanyaswa watu ni waongo kinoma
Nachojua mapenzi kww mama yake yalitokana na historia yake, mama yake aligombana na mumewe(Joseph) akaamua kurudi kwao visiwani nkome katika kipindi hicho akapata hawara (baba mzazi wa hayati na inasemekana alikuwa muhaya) ndipo kupata ujauzito wa hayati John, akarudi kww mumewe akiwa mjamzito mume haikumpendeza ikawa magomvi juu ya ujauzito, ila hakuwa na namna akampokea mimba ikalelewa mtoto akazaliwa na maisha mengine yakaendelea, akaongeza watoto wengine, kwahiyo Magufuli hapo ni kwa baba yake wa kambo, sio baba mzazi, katika makuzi hayati alibaguliwa na huyo baba wa kambo ni mama yake tu ndiye alikuwa mtetezi wake hata shule mama yake ndie alipambana asome sababu baba yake wa kambo hakutaka hayati aende shule hivyo alikuwa akimtuma sana kwenda machungani,, hata wakati wa kugawa ardhi hayati hakugawiwa ardhi ya urithi ikabidi mama amfanyie mpango kijana wake kununua ardhi katika familia hiyo hiyo maana kanda hiyo pasipo urithi wa ardhi unaonekana km huna kwenu, ndipo hayati kupata ardhi na akawa km mmoja wa wanafamilia na akauziwa shamba la pembeni huko km kumtupa(Rubambangwe),

Huyo ndugu aliyemfanyia ukatili ni moja ya wale waliokuwa wakimbagua na kumkataa enzi akiwa mdogo hata mie ningekuwa kwenye nafasi hiyo ningemuonesha tu kuwa mi ni nani

Punguzeni uongo uongo, mara uchawi wa mama yake,, kww hadithi hiyo kwanini asimpende mama yake ndo ndg yake wa kweli aliyempambania ktk mazingira magumu mpaka kufikia uraisi,, kifo cha dada yake kilimuumiza sana sababu ndiye ndg aliyekuwa akimuhudumia mama yake kwa ukaribu na hata alivyofariki mama yake alitetereka sana kiafya
Alikuwa mtoto haramu kwenye ndoa Sasa ulitaka iwaje?

Ingawa sio sawa kumkubali mtu na kumlea then umnyanyase na hii ndio imeleta tabia mbaya na roho ya ukatili kwa Mwendazake sababu ya malezi mabaya ya baba Yake wa Kambo na Ufuska wa mom yake.

Kwa.maelezo haya yako simlaumu Tena maana amekulia mazingira ya kunyanyaswa.
 
Vipi saizi miundombinu haijengwi?
Miundombinu mingi ya south ilijengwa na makaburu,Mandela ndio kabisaa hakujenga sana,bora kipindi cha muhuni Jacob Zuma,Mbeki na Mandela ni wanasiasa zaidi kuliko utendaji,sijakanyaga tangu ramaphosa awe Rais ila South ilijengwa na makaburu,ngozi nyeusi inawaza tumbo tu na kuiba
 
Alikuwa mtoto haramu kwenye ndoa Sasa ulitaka iwaje?

Ingawa sio sawa kumkubali mtu na kumlea then umnyanyase na hii ndio imeleta tabia mbaya na roho ya ukatili kwa Mwendazake sababu ya malezi mabaya ya baba Yake wa Kambo na Ufuska wa mom yake.

Kwa.maelezo haya yako simlaumu Tena maana amekulia mazingira ya kunyanyaswa.
Hakunaga mtoto haramu wewe,, kwahiyo ulitaka mama yake afe na genye zake nyie ndo mnaofanya wanawake watoe mimba kumbe na kutupa watoto,
baba wa kambo alitakiwa kumkataa tangu mimba kumkubali kinafiki na kumpa jina lilikuwa kosa sana maana hakuishi kile alichokikubali,,

Usidhihaki wazazi wa wenzio labda kama ulijizaa peke yako,, maana ukisema ufuska wa mama yake manake na wewe mamako ni fuska vile vile huyo mama yenu aliyepo ikulu huo ufuska unamuhusu tena huyu ndo balaa,,

Nimetoa hayo maelezo ya maisha ya hayati ili kupinga aliyeingiza ishu za uchawi na bla bla nyingine hasa kuhusu mzazi na dada yake
 
Weka rekodi sawa,anakubalika na wajinga wengi wasioelewa Nini wanataka
Yani wewe unaonekana una kiwango cha juu cha ujinga. Huwezi kuona mawazo yako ndo yanafaa kuliko wengine. Kwahyo kwenye ukoo wako wote walikuwa hawampendi? Au na waliompenda pia wamo kwenye hilo kundi la wajinga? Acheni dharau halaf ukute mtu mwenyewe wa hovyo tu mdomo mzima meno yameungua chaaa
 
Sasa hayo majinga si alikuwa na uwezo wa kuyadhibiti?

Magufuli alikuwa akiingia kanisani na kuwakejeli wazi wazi viongozi wa dini waliokuwa wakihimiza waumini wajikinge na Covid
Huku akijua kabisa Covid ilikuwepo na iliua viongozi kadhaa ndani ya serikali yake
Hapa ilikuwa ni hao wajinga au kiburi chake!?
Kwamba corona iliua viongozi wake? Umelisema pale juu nikakuvumilia naona unalirudia.

Kama hivyo ndivyo unavyoamini nikupe pole mkuu
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Marehemu asemwi acha chuki za kisiasa wewe!!!Hakuna aliyekamilika kaka hata wewe una mapungufu jitazame vizuri
 
Kiburi na dharau dhidi ya wazee wake wa Chato ni moja ya vitu vilivyomuangusha sana .

Wakati mmoja akiwa na ziara jimboni Chato , Wazee walimuomba awawekee lami kwenye barabara yao , wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi , lakini pia alikuwa mbunge wao , Magufuli aliwashambulia wazi wazi wazee wale kwamba yeye siyo Waziri wa Chato bali ni waziri wa Tanzania nzima , hivyo hawezi kuwapendelea wao ili wapate lami , na kwamba KAMA WANATAKA LAMI WANYE MAVI YAO WAYASILIBE BARABARANI IWE LAMI .

Watu wote walishangazwa na kauli ile na hiyo ni moja ya kauli iliyomfanya achukiwe kwao , huyu mahusiano yake na wananchi yalirejea baada ya kuteuliwa kugombea Urais baaasi , hakuwa na ushawishi wowote kabla ya hapo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama hamuwezi kulipa mia mbili kwenye pantoni muogelee🤣🤣🤣🤣🤣Kigamboni hiyo
 
Back
Top Bottom