Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Nyerere aliwasahau watu wa kwao,hakupeleka huduma muhimu za jamii
 
Mizimu ya kwao ikamsaidia,lakini mizimu hiyo hiyo ikamkataa 2021 kwa sababu ya ubaguzi ubaguzi.
 
Kwa hiyo ndio hizi ndio sera za siasa za majukwaani mnazijiandaa nazo?
 
Wakina wewe nlioruhusiwa juzi huko Ikulu!

Wakati tunataka Sera,wewe bado una personal attacks na Mizimu [emoji22]
Wakina wewe nlioruhusiwa juzi huko Ikulu!

Wakati tunataka Sera,wewe bado una personal attacks na Mizimu [emoji22]
Wakina wewe nlioruhusiwa juzi huko Ikulu!

Wakati tunataka Sera,wewe bado una personal attacks na Mizimu [emoji22]
Kuwa na adabu basi,malaika unamuitaje mzimu
 
Kwa siasa hizi ni ushahidi tosha kwamba mmeishiwa sera!

Na amini nakuambia huko majukwaani mnaenda kuangukia pua.

Labda mjitambuwe na kujirekebisha!
Majukwaa gani mbona hueleweki,
 


Kwani Baba yake Magufuli ni Muha??
 
Mkuu Mdukuzii Kwani mmeruhusiwa kufanya siasa kwenye majukwaa gani zaidi ya kwenye siasa za mikutano ya hadhara!View attachment 2472056
Nikwambie kitu ndugu yangu,kwenye maswala ya kujenga miundombinu magufuli hana mpinzani,sio tanzania tu bali hata nchi nyingi za afrika,ila kwenye demokrasia na haki za binadamu alifeli sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…