Kwanini Hayati Magufuli aliogopwa sana na Waandamanaji tofauti na Ruto anavyoonewa huko Kenya?

Kwanini Hayati Magufuli aliogopwa sana na Waandamanaji tofauti na Ruto anavyoonewa huko Kenya?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Maandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
 
Ni kwasababu ya ukatili wake uliokithiri na watu walimjua huyu jamaa ni katili na hata anaweza kukupoteza katika mazingira ya kutatanisha kama akina Saanane. Ruto ni muungwana, mcha Mungu na pia Kenya kuna demokrasia iliyokomaa zaidi ya hii hapa kwetu.
 
Maandamano ya Chadema yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya Chadema waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Magufuli hakuwa shujaa bali alikuwa mtu mwoga sana kuliko hata kunguru. Kwa ajili ya uwoga wake ndiyo maana kila mkutano na kila ziara alikuwa anezungukwa na IGP Sirro, CDF Mabeyo, DG IS Diwani Athman.

Halafu alikuwa na ulinzi mzito sana wa banadamu, mitambo, askari kanzu, askari wenye laptop ba helicopter

Lakini pamoja na vyote hivyo COVID-19 ikamfagia kinyama
 
Maandamano ya Chadema yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya Chadema waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Aina ya wananchi,tz mabogus wengi
 
Maandamano ya Chadema yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya Chadema waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Kwani Magufuli aliwahi kwenda Uhalanzi hata siku moja kuhudhuria kesi ya mauaji? Unauliza swali ambalo jibu lake lipo wazi?
Pamoja na hayo, kwani Ruto naye anacho kichaa kama Magufuli?

Isitoshe, wewe unafikiri hiyo Katiba iliyopo Kenya sassa hivi uipo kwa mapambo tu?
 
Maandamano ya Chadema yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya Chadema waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Kati ake na CHADEMA nani yupo kaburini?
 
Kwani Magufuli aliwahi kwenda Uhalanzi hata siku moja kuhudhuria kesi ya mauaji? Unauliza swali ambalo jibu lake lipo wazi?
Pamoja na hayo, kwani Ruto naye anacho kichaa kama Magufuli?

Isitoshe, wewe unafikiri hiyo Katiba iliyopo Kenya sassa hivi uipo kwa mapambo tu?
Pia kuna njia nyingi za kumshughulikia, alishughulikiwa vizuri
 
Back
Top Bottom