Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Maharagwe ni Mrombo? 🐼UWT mnachangamoto sn
Rombo hakuna wajinga na wezi, ni mgosiHivi Maharagwe ni Mrombo? 🐼
Yule Waziri wa Fedha aliyefungwa Jela siyo Mrombo?Rombo hakuna wajinga na wezi, ni mgosi
Kama demonskrasia ndo hizo vurugu haifaiNi kwasababu ya ukatili wake uliokithiri na watu walimjua huyu jamaa ni katili na hata anaweza kukupoteza katika mazingira ya kutatanisha kama akina Saanane. Ruto ni muungwana, mcha Mungu na pia Kenya kuna demokrasia iliyokomaa zaidi ya hii hapa kwetu.
Aliyekuwa ameiba ni Mkapa yeye alitumika tu kama chamboYule Waziri wa Fedha aliyefungwa Jela siyo Mrombo?
Yule alikuwa mwehu!Maandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.
Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate
Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini
Ahsanteni Sana 😂
Hapo kwenye " KICHAA" ndo muhimuJiwe hakuwa na ubinadamu, kwanza maadui zake binafsi akawageuza maadui wa taifa, kisha baada ya hapo dola ikawashughulikia!!
Usicheze na mtu ambaye ana kichaa🥶
Kwa maana hiyo JPM aliwaweza 😅😅😅🙌Ni kwasababu ya ukatili wake uliokithiri na watu walimjua huyu jamaa ni katili na hata anaweza kukupoteza katika mazingira ya kutatanisha kama akina Saanane. Ruto ni muungwana, mcha Mungu na pia Kenya kuna demokrasia iliyokomaa zaidi ya hii hapa kwetu.
John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, aliogopwa sana na waandamanaji kutokana na mtindo wake wa uongozi ambao ulijulikana kwa kuwa mkali na wa kijasiri. Alikuwa na sera kali za kudhibiti upinzani na maandamano, na alitumia vyombo vya dola kama polisi na jeshi kwa nguvu kubwa kudhibiti wapinzani na waandamanaji. Pia, alijulikana kwa kutokubaliana na ukosoaji na mara nyingi alichukua hatua za haraka dhidi ya wale waliomkosoa, ikiwemo kuwakamata na kuwafunga gerezani.Magufuli alikuwa real sana ndiyo maana wananchi wanyonge walimpenda.
Kumbuka masikini ndiyo hutumika kuandamanishwa
Hauoni hivyo vyote alifanya kujilinda na mafisadi!? Na mnasingizia COVID 19 while you killed our Man ,STUPID.Magufuli hakuwa shujaa bali alikuwa mtu mwoga sana kuliko hata kunguru. Kwa ajili ya uwoga wake ndiyo maana kila mkutano na kila ziara alikuwa anezungukwa na IGP Sirro, CDF Mabeyo, DG IS Diwani Athman.
Halafu alikuwa na ulinzi mzito sana wa banadamu, mitambo, askari kanzu, askari wenye laptop ba helicopter
Lakini pamoja na vyote hivyo COVID-19 ikamfagia kinyama
Hoya shujaa Mungu jamaa anaoza Chato huko!!Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu "
Ww baba ako anaozea wap!?Hoya shujaa Mungu jamaa anaoza Chato huko!!
Kwa mama yakoWw baba ako anaozea wap!?