Kwanini Hayati Magufuli aliogopwa sana na Waandamanaji tofauti na Ruto anavyoonewa huko Kenya?

Kwanini Hayati Magufuli aliogopwa sana na Waandamanaji tofauti na Ruto anavyoonewa huko Kenya?

Magufuli hakuogopwa Bali alifanya kazi nzuri ambayo iliwafanya wtz wasiwe na sababu ya kuandamana.kipindi hicho mambo yalikuwa mazuri tofauti na Sasa Kila siku Nchi inaharibiwa na huyu mama
Hapana! Siku za mwanzoni tu alipoingia madarakani tena akiwa Manyoni, akatangaza marufuku ya mikutano ya siasa, na kuchimba biti kwamba atakaye fanya mkutano atakiona ila yeye akawa anafanya bila shida. Pia kumbuka wakati wa maandamano ya UKUTA jeshi lilingilia kati. Magufuli hakuwa kiongozi Bali Mtendaji, alifaa kwenye uwaziri mkuu sio urais.
 
Yasingefanikiwa

Huwajui watanzania

Sijawahi ona watu wanafiki, waoga, watu selfish kama watanzania

Hii nchi imeoza toka ikulu mpaka mtoto wa darasa la kwanza upinzani umeoza ccm nisiseme kanisa

it is a dead country with its soul lost

Tanzanians we need to have conversations with our souls

Are we ready for that hard conversationd ?
 
Kwasababu walijua yuko sawa kiasi kuliko the past presi...
 
Hakuna mtu angetokea kuandamana wakati robo 3 ya nchi walkuwa wanamkubal hasa hao wanyonge ambao ndio waandamanaji.
Robo tatu gani? Mtu kaingia madarakani kwa asilimia 57% ya kura za urais. Tena hapo kajaziliziwa na bao la mkono na ukabila juu.
 
Anachezewa na nani?. Shida mnataka kiongozi aongoze wananchi Kama ng'ombe. Sio sahihi.

Na hao Gen Z wake. Kila siku wanabadilisha goal post na yeye kama nyumbu anaenda tu. When does he draw the line? Hata mpiga mwingi hawezi chezewa hivi.
 
Maandamano ya nchini Kenya amaarufu GenZ yalifaanikiwa sio kwa sababu ya aina ya oganizition waliofaya. Sababu kubwa ni Polisi kuwa upande wa waandamanaji. Polisi hawakufanya kile walichopaswa kufanya...
Sijawahi kuona polisi legelege kama polisi wa kenya. Tunaambiwa eti kuna polisi wa kenya wamepelekwa kule nchini Haiti kupambana na makundi na magenge ya wahuni na waasi ambao wengi wao wana silaha za moto kama bunduki nk.
Sasa kama wameshindwa kushuhulika na genz wataweza wale wahuni wa port au prince?
jeshi la polisi la kenya limemsaliti Rais Ruto...
 
John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, aliogopwa sana na waandamanaji kutokana na mtindo wake wa uongozi ambao ulijulikana kwa kuwa mkali na wa kijasiri. Alikuwa na sera kali za kudhibiti upinzani na maandamano, na alitumia vyombo vya dola kama polisi na jeshi kwa nguvu kubwa kudhibiti wapinzani na waandamanaji. Pia, alijulikana kwa kutokubaliana na ukosoaji na mara nyingi alichukua hatua za haraka dhidi ya wale waliomkosoa, ikiwemo kuwakamata na kuwafunga gerezani.

Kwa upande mwingine, William Ruto, Rais wa Kenya, anaonekana kuwa na mtazamo tofauti wa uongozi. Ingawa kuna changamoto na maandamano nchini Kenya, Ruto ameonyesha utayari wa kushirikisha upinzani na kufanya mazungumzo, jambo ambalo linaweza kupunguza hofu na kuogopwa kwake na waandamanaji. Pia, mfumo wa kidemokrasia nchini Kenya unatoa nafasi kubwa zaidi kwa wananchi na wapinzani kuonyesha maoni yao na kufanya maandamano kwa njia za amani.

Tofauti hizi katika mitindo ya uongozi na sera za kudhibiti upinzani zinaweza kuelezea ni kwa nini Magufuli aliogopwa zaidi na waandamanaji ikilinganishwa na Ruto.
ChatGPT naona imekudadavulia vizuri tu 😁
 
Maandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Magufuli sidhani kama angeweza kuandamana. Na lile tatizo lake la moyo
 
Maandamano ya nchini Kenya amaarufu GenZ yalifaanikiwa sio kwa sababu ya aina ya oganizition waliofaya. Sababu kubwa ni Polisi kuwa upande wa waandamanaji. Polisi hawakufanya kile walichopaswa kufanya...
Sijawahi kuona polisi legelege kama polisi wa kenya. Tunaambiwa eti kuna polisi wa kenya wamepelekwa kule nchini Haiti kupambana na makundi na magenge ya wahuni na waasi ambao wengi wao wana silaha za moto kama bunduki nk.
Sasa kama wameshindwa kushuhulika na genz wataweza wale wahuni wa port au prince?
jeshi la polisi la kenya limemsaliti Rais Ruto...

Ruto mwenyewe ni dhaifu. Rais huwezi endeshwa kiboya namna hii. Kusikiliza wananchi ni jambo Moja ila kuendeshwa na watu kufanya uhalifu under your watch ni ujinga. Kila siku wanakuja na madai mapya na yeye anacheza tu mziki wao
 
Maandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.

Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate

Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini

Ahsanteni Sana 😂
Kwa sababu alikuwa kichaa na mvuta bangi
 
Back
Top Bottom