Shujaa alikuwa Hamza na Lissu pekee. Wengine ni uchawa tu na sofa za kijinga.Shujaa ilikuwa kama vipi mnaanza na push- up ukimshinda anatia jeshi kufanya usafi muulize lissu anayo kumbu kumbu!
Alikomesha ujinga au ndio aliongeza ujinga, unafiki na uoga?.Tanzania ilimbidi Magufuli aje ili kukomesga ujinga uliokuwa umeatawala
Hapana! Siku za mwanzoni tu alipoingia madarakani tena akiwa Manyoni, akatangaza marufuku ya mikutano ya siasa, na kuchimba biti kwamba atakaye fanya mkutano atakiona ila yeye akawa anafanya bila shida. Pia kumbuka wakati wa maandamano ya UKUTA jeshi lilingilia kati. Magufuli hakuwa kiongozi Bali Mtendaji, alifaa kwenye uwaziri mkuu sio urais.Magufuli hakuogopwa Bali alifanya kazi nzuri ambayo iliwafanya wtz wasiwe na sababu ya kuandamana.kipindi hicho mambo yalikuwa mazuri tofauti na Sasa Kila siku Nchi inaharibiwa na huyu mama
Anachezewa na nani?. Shida mnataka kiongozi aongoze wananchi Kama ng'ombe. Sio sahihi.Ruto dhaifu anachezewa sana. Hata Maza hawezi chezewa hivyo.
Robo tatu gani? Mtu kaingia madarakani kwa asilimia 57% ya kura za urais. Tena hapo kajaziliziwa na bao la mkono na ukabila juu.Hakuna mtu angetokea kuandamana wakati robo 3 ya nchi walkuwa wanamkubal hasa hao wanyonge ambao ndio waandamanaji.
Anachezewa na nani?. Shida mnataka kiongozi aongoze wananchi Kama ng'ombe. Sio sahihi.
Alikufa kwa sala za watu aliowadhulumu na kuwatesa na ndugu za aliowaua.Hauoni hivyo vyote alifanya kujilinda na mafisadi!? Na mnasingizia COVID 19 while you killed our Man ,STUPID.
Kwa vyovyote wewe pia kichaa!Magufuli hakuwahi kuwa mtu wa mchezo mchezo wallah π yule ndio Rais wangu pendwa aseeh
ChatGPT naona imekudadavulia vizuri tu πJohn Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, aliogopwa sana na waandamanaji kutokana na mtindo wake wa uongozi ambao ulijulikana kwa kuwa mkali na wa kijasiri. Alikuwa na sera kali za kudhibiti upinzani na maandamano, na alitumia vyombo vya dola kama polisi na jeshi kwa nguvu kubwa kudhibiti wapinzani na waandamanaji. Pia, alijulikana kwa kutokubaliana na ukosoaji na mara nyingi alichukua hatua za haraka dhidi ya wale waliomkosoa, ikiwemo kuwakamata na kuwafunga gerezani.
Kwa upande mwingine, William Ruto, Rais wa Kenya, anaonekana kuwa na mtazamo tofauti wa uongozi. Ingawa kuna changamoto na maandamano nchini Kenya, Ruto ameonyesha utayari wa kushirikisha upinzani na kufanya mazungumzo, jambo ambalo linaweza kupunguza hofu na kuogopwa kwake na waandamanaji. Pia, mfumo wa kidemokrasia nchini Kenya unatoa nafasi kubwa zaidi kwa wananchi na wapinzani kuonyesha maoni yao na kufanya maandamano kwa njia za amani.
Tofauti hizi katika mitindo ya uongozi na sera za kudhibiti upinzani zinaweza kuelezea ni kwa nini Magufuli aliogopwa zaidi na waandamanaji ikilinganishwa na Ruto.
Magufuli sidhani kama angeweza kuandamana. Na lile tatizo lake la moyoMaandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.
Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate
Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini
Ahsanteni Sana π
Maandamano ya nchini Kenya amaarufu GenZ yalifaanikiwa sio kwa sababu ya aina ya oganizition waliofaya. Sababu kubwa ni Polisi kuwa upande wa waandamanaji. Polisi hawakufanya kile walichopaswa kufanya...
Sijawahi kuona polisi legelege kama polisi wa kenya. Tunaambiwa eti kuna polisi wa kenya wamepelekwa kule nchini Haiti kupambana na makundi na magenge ya wahuni na waasi ambao wengi wao wana silaha za moto kama bunduki nk.
Sasa kama wameshindwa kushuhulika na genz wataweza wale wahuni wa port au prince?
jeshi la polisi la kenya limemsaliti Rais Ruto...
Alijiweza.K
Kwa maana hiyo JPM aliwaweza π π π π
Kwa sababu alikuwa kichaa na mvuta bangiMaandamano ya CHADEMA yaliyoitwa UKUTA kama yangefanikiwa yangekuwa zaidi ya haya ya Gen Z.
Nakumbuka Shujaa Magufuli alitoa Kauli Moja tu " atakayeandamana asije akanilaumu" kauli hii ilitosha kuwafanya CHADEMA waufyate
Lakini hapo Kenya kila wiki Rais Ruto anatoa Vitisho vipya lakini Gen Z hawaogopi wala nini
Ahsanteni Sana π