Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Wakuu habari

Baadhi ya Mambo yaliyofanywa na marehemu Magufuli bado yananishangaza. Hivi ni kwanini alitoa amri ya kuwapunguzia mishahara watumishi halali wa serikali. Kosa lao kubwa ilikuwa na nini.

Mama ameamu kutowaonea watu, ni Bora mama aliangalie hili na ikimuwia vema awarudishie mishahara yao, na malimbikizo yao Kama alivyofanya kwa TUNDU LISU.

Haikuwa haki kabisa
 
Wakuu habari

Baadhi ya Mambo yaliyofanywa na marehemu Magufuli bado yananishangaza. Hivi ni kwanini alitoa amri ya kuwapunguzia mishahara watumishi halali wa serikali. Kosa lao kubwa ilikuwa na nini.

Mama ameamu kutowaonea watu, ni Bora mama aliangalie hili na ikimuwia vema awarudishie mishahara yao, na malimbikizo yao Kama alivyofanya kwa TUNDU LISU.

Haikuwa haki kabisa
Alikuwa na roho ya kimasikini sana
 
Usiseme hivyo, alikuwa kiongozi mkuu wa nchi, mpe heshima yake. Pia marehemu hasemwi kwa ubaya
Idd. Amin, Hitler, Bokasa, Mobutu nao walikuwa wakuu wa nchi lkn mpk leo wanatukanwa tena siyo kwa maneno ya kupita bali kwa vitabu vilivyoandikwa kuelezea ukatili wao.

Ukiwa kiongozi tena mema utanenewa mema ukishafariki
 
Walikua wamemzidi mshahara.

Kingine output yao kwa taifa ilikua ndogo kuzidi kipato wanacholipwa.
 
Walipunguziwa kutoka kiasi gani mpaka wapi?
Wakumuuliza hayupo, ameshatangulia mbele za haki, watafutwe wenyewe waulizwe, maana wapo tunaowadai, kipindi kirefu hatujalipwa, sababu ni hiyo
 
Walikua wamemzidi mshahara.

Kingine output yao kwa taifa ilikua ndogo kuzidi kipato wanacholipwa.
We jamaa kuwa serious, yaani taasisi nzima wamzidi mshahara Rais, hiyo haipo Dunia nzima
 
Usiseme hivyo, alikuwa kiongozi mkuu wa nchi, mpe heshima yake. Pia marehemu hasemwi kwa ubaya
Kwa hili la Marehemu hasemwi vibaya lazima tukubaliane kwamba JPM hakuwa muuza madafu. Angekuwa hivyo tungeisha msahau zamani

Yeye alikuwa Amir Jeshi Mkuu, changamoto zilizojitokeza wakati wake ni mafunzo makubwa hata kwa Mjumbe wa Nyumba 10


Tuenderee kujifunza
 
Walikua wamemzidi mshahara.

Kingine output yao kwa taifa ilikua ndogo kuzidi kipato wanacholipwa.
Kwanz huyo mtoa mada anafaham au keshawai kwenda pale TMAA akashuhudia kinachoendelea?.. ujue miTz ni mipumnavu sana... Kuna siku niliwai enda pale kuoima mawe yangu fulan.. kwanza ofis chafu.. hakuna cha maana .. lab zao chafu.. walijibu ohh reagent zmeisha.. had zije ndo niende.. nkasema kwel???.. ni hak yao kupunguziwa mishahara... Pu.mbav kabisa.. mtoa mada nae ni popoma.. na wachangiaj nao ni mapopoma
 
inawezekana alipima matokeo ya kazi yao vs wanacholipwa akagundua havilingani..
 
Kuna vitu afrika nikivicheki Na Baki Na shangaa utakuta mtu au mfanyakazi ana penda apate mshaara mkubwa uku uchumi wa inch yake bado mdogo saana
Kwanza hilitakiwa mishaara ipunguzwe kwa uwingi ili serekali ipate watu halali wa kufanya nao kazi sio wapenda pesa

Pili hilitakiwa afrika tupambane kwanza Na kazi ili tupande uchumi wa inch zetu
Sasa utakuta mtu anataka apete mshaara wa shilling milioni 100 uku inch yake Akuna hospitali au nini
 
Kuna vitu afrika nikivicheki Na Baki Na shangaa utakuta mtu au mfanyakazi ana penda apate mshaara mkubwa uku uchumi wa inch yake bado mdogo saana
Kwanza hilitakiwa mishaara ipunguzwe kwa uwingi ili serekali ipate watu halali wa kufanya nao kazi sio wapenda pesa

Pili hilitakiwa afrika tupambane kwanza Na kazi ili tupande uchumi wa inch zetu
Sasa utakuta mtu anataka apete mshaara wa shilling milioni 100 uku inch yake Akuna hospitali au nini
Una wanga mkuu. Wewe ni wa kule kule usukumani gang..? Watz tunalipwa tumshahara tudogo saaba afu upunguzwe tena..? Si tuta dead meen. Tuwe na fikra fikirishi
 
Kwanz huyo mtoa mada anafaham au keshawai kwenda pale TMAA akashuhudia kinachoendelea?.. ujue miTz ni mipumnavu sana... Kuna siku niliwai enda pale kuoima mawe yangu fulan.. kwanza ofis chafu.. hakuna cha maana .. lab zao chafu.. walijibu ohh reagent zmeisha.. had zije ndo niende.. nkasema kwel???.. ni hak yao kupunguziwa mishahara... Pu.mbav kabisa.. mtoa mada nae ni popoma.. na wachangiaj nao ni mapopoma
Mtoa mada ni ofisa wa hapo anataka wapandishwe mshahara hujamjua
 
Back
Top Bottom