Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,251
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama hivi ambavyo ameumbuka.

Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka.

Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi.

Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii.

Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini.
 
Ni kawaida mshamba anapotaka umaarufu anaweza kufanya lolote hata kuvua nguo.

Yule jamaa alikuwa mwehu haijawahi kutokea! Kwake uongo ndio ulikuwa maisha yake.

Nakumbuka kipindi cha kampeni kulikuwa na magari mengi mtaani yaliyokuwa na plate number zilizoandikwa JPM2020, magari haya mengine ni ya wajinga fulani waliokuwa wakimsifu na kuuabudu uongo wake
 
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka...

CCM wakweli ni wa kuhesabu kama walivyo wenye nafuu.

Katika hao nisiache kuwataja japo JK na mama Samia.

Hapa wakule vichwa vya wajumbe wa lile genge pendwa la wasukuma lililobakia. Bila kuwasahau katelefoni, vp, dotto mlipa mapesa na wenzao.

Wakiongezea na kutenge mazingira ya ya haki, uhuru na kupatikana kwa katiba muafaka watakuwa wamemaliza kila kitu. Misahafu nayo inakomelea, ufalme wa mbinguni utakuwa umewahusu moja kwa moja!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Shiiii! Punguza sauti wazee wa ligasi wasisikie. Wakisikia watakupopoa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom