Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka

Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka

Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi

Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii

Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini
SNA tatizo nae,Nina tatizo na hawa waliomsujudia hadi kumlinganisha na Mwenyezi Mungu, huku wakijua wazi wamadanganywa! Alikua anajua wanachokitaka CCM, UONGO
 
"ndugu zangu msema kweri mpenzi wa Mungu"

Shwain....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah umenchekesha sana wewe jamaaa
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah umenchekesha sana wewe jamaaa
Ligasi ya uongo inaendelea....
IMG-20210502-WA0006.jpg
 
Rais gani wa africa wewe umemuona mkweli, tena sio Africa tu duniani
 
Jiwe anaweza kufufuka..maana Ligasi yake inararuliwa ile kiroho mbaya kabisa.
 
Wana wanamsagia kunguni kweli kweli yani
 
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka

Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka

Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi

Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii

Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini
Akiyasema haya makamu wake, waziri mkuu na waziri wa fedha walikuwa wapi? CCM ni hao hao usiku na mchana.

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka

Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka

Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi

Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii

Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini
Hivi takwimu za ukuaji uchumi hutengenezwa na rais au Kuna organs au taasisi za ndani na nje kama WB n.k ? Sasa kama nchi kupika takwimu si kila nchi ingejitangazia asilimia inazotaka ?
 
Mzee wa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu za ndani.
Siku mbili mbele unakuta wako benki ya dunia kwenye korido.
Wakiomba mikopo kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa
 
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka

Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka

Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi

Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii

Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini

Kua miradi yote tunajenga kwa fedha yetu finally wachina hawa hapa reli isaka to mwanza , makutopora tu isaka mkopo!
 
Mimi nafikiri hayo yote aliyafanya ili awe mtawala wa muda mrefu kama akina Kagame na M7
 
Maneno ya Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, yalikuwa na ukweli kwa asilimia nyingi sana! Hakuwa Presidential material. Alitakiwa awe Mnyapara wa barabara.

Nafasi ya Urais ilimzidi nguvu! na ndiyo maana ilimuendesha na kumvuruga mwanzo , mwisho!
 
Back
Top Bottom