Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka...
KabisaMwingine mwenye hobby hiyo ni PM
Mrundi hawezi kua mkweli kwa mtanzania,hata mpango nae mrundi mwenzakeYaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka...
Sukari ilikuwa 1800 , alipoingia madarakani ikafika 3200, 3000, 2800, 2700,Alidanganya ati wakati anaingia madarakani bei ya sukari ilikua 5000
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka...
Mayb' hwsnt lying!!? [emoji102][emoji102][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana!His chapter is closed hata ukimuhukumu hawezi kujitetea and who knows which is which kesi huwa inasikilizwa pande mbili may be he was not lying!!! Nan ajuaye?hebu mpumzisheni Makufuli this Makufuli that he is dead and gone ili mfurahi mlimchuria mno...let him rest...
Hao wangefanya nn mbele ya jiwe ? Unakumbuka msajili WA hazina aliyetofautiana naye kauli alivyomtoa kwenye cheo ?Akiyasema haya makamu wake, waziri mkuu na waziri wa fedha walikuwa wapi? CCM ni hao hao usiku na mchana.
View attachment 1771262
Kabisa ila Mungu fundi sanaMimi nafikiri hayo yote aliyafanya ili awe mtawala wa muda mrefu kama akina Kagame na M7
Yaani nimekaa leo najiuliza kwanini the late one aliamua kuwa mtu muongo na mpika data hii ilikuwa ni kwa faida ya nani yani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kusema uongo uongo na kuufanya mwisho wake kuwa mbaya na kuumbuka kama ivi ambavyo ameumbuka
Imagine alikuwa na sababu gani ya kumlazimisha atudanganye kuwa uchumi wa nchi unakua kwa %8 kwa mwaka na wakati ukweli ni kwamba uchumi ulikuwa unashuka kwa %4 kwa mwaka
Kwanini aliamua kuwa adui wa vyombo vya habari na vyama upinzani yeye alikuwa anapata faida gani kwa kuwa na uadui na vyombo hivi
Kwanini aliamua kununua wapinzani na kisha kuwazawadia vyeo yeye alikuwa anafaidika na nini na biashara hii
Nb na mwenye kuongezea uongo mwingine wa mwendazake aongezee apa ili tujue kilochokuwa kinamsibu uyu mwenzetu ni nini
aliyehoji phd yake alipoteaYan maju amefunikwa na mama mpaka aibu!!! Yan MTU ana PhD hata kuongea hajui!?? Haki ya Mungu!!! Daaa
Et a asema may be he wasnt lying .mmh kwa kweli nimeshangaa lakini hawa ni wazee wa legacy so wao hawauon uongo wa jamaa mfano ukimuuliza yani kwanini jamaa alidanganya kwmba sgr tunajenga kwa ela zetu wakati ni ela za mikopo alikuw na shida gani kutudangany kwa tz hamna corona alafu mwisho wa siku Corona ikamtafuna yeye mwenyewe alikuwa anamaanisha niniMayb' hwsnt lying!!? [emoji102][emoji102][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana!
Lile shirika la ndege alilosema limeingiza faida ya bln. Kadhaa je!?
Yule alikuwa ni muongo na muovu by default"
Mzee wa ligasi sio mimi nilieyasema haya apana bali ni mama SSH raisi wa sasa uchumi wa nchi kwa mwaka 2020 umeshuka kwa koasi cha 4.6 so probably Magu alikuwa anapika data za uongo uongo mzee usinipige mshale sio mimiuchumi kwa kipindi gan ulikua unakua kwa asilimia 4%?
View attachment 1771668
DadekiAliendaga kilombero akasema mlikosea kuchagua, badae akauliza mbunge wa chama gani wakamwambia CCM, akabadilisha gia hapohapo akasema "najua anafanya kazi nzuri". Hakua mtu wa kawaida yule.