Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

Tumwache, ameishakufa
 
Mtu pori alikua na IQ ndogo sana.

Yaani hata exposure ilikua zero.

Mambo ya international affairs ndo kabisa

Yaani hata historia ya nchi ilimpiga chenga aisee.

Ni mshamba flani aliyepata madaraka kwa upepo tu uvumao kwa msimu sijui ndio aliendaga gambosh kuchukua tunguri za ushawishi kwa nyumbu wa lumumba yaani watu wenye akili timamu hata fomu alikua sio wa kufikiriwa aisee

Sina wivu enyi walinda 'legasi'.

Huo ndio ukweli wa jamaa yenu madaraka yalimzidi akili.

Alinishangaza sana pale alipoutangazia umma kwamba awamu za nyuma zilikua za mafisadi na sio wazalendo ukimuuliza yeye alipokua waziri hio migao ya kifisadi aliikataaaa hapana alikua mmoja wapo ya mbwa mwitu walewale.

Ile kupata kacheo tu akawasnich wenzie et wapigaji yaani mtu pori angekua nchi Kama Colombia au Mexico wangemlima kichwa mapemaaa kwa usnich aisee
😂😂😂😂
 
Mtu pori alikua na IQ ndogo sana
Yaani hata exposure ilikua zero..
"Mtu pori" dah 😁😂🤣

Yaan kwa spana hizi anazopigwa akiamka hakika anawakata vichwa wote. Ila mwamba alikua mbad sana, imagine population ya 60M+ wakaufyata na wakaangunga mbele yake? Lkn huyu mwamba duniani hapa ni mshindi ila kwa kifo nae akaufyata.
 
Mzee wa ligasi sio mimi nilieyasema haya apana bali ni mama SSH raisi wa sasa uchumi wa nchi kwa mwaka 2020 umeshuka kwa koasi cha 4.6 so probably Magu alikuwa anapika data za uongo uongo mzee usinipige mshale sio mimi

sasa kama umeshuka means ulikua juu si ndio? na magu hakupika data nmefuatilia record zote za world bank na BOT almost znafanana na kibaya zaidi ukiskia uchumi umepanda hutaki kuamini unataka kuskia uchumi umekufa? unafaidika nn na taarifa za uchumi kushuka?
 
Ukiona mtu anaongelewa sana basi ujue alipendwa na wengi..manake tunae Raisi mpya ila bado Magufuli on trending...
 
Yule hakua kiongozi mzuri, alibahatika tu kua Rais lakini hakufaa,
 
We lofa kweli, hivi kuna jitu liongo duniani kuliko Lissu?
 
Yeye anaesema tunakela alete zisizokela afu wengine tunamaindi Sana uongo unadanganya kwa masilahi ya nani
 
Alifanya kazi kwa namna yake
Kuhusu ukweli wake au uongo wake kila mtu anamtazamo wake katika hilo

"Maisha ni kusafiri njiani tu, sio kila mtu unayekutana naye njiani ataitikia salamu yako"
 
Mayb' hwsnt lying!!? [emoji102][emoji102][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana!

Lile shirika la ndege alilosema limeingiza faida ya bln. Kadhaa je!?

Yule alikuwa ni muongo na muovu by default"
Sasa unabishana na maiti?atakujibu nn...
 
It pains
 
Tangu lini muongo akaacha asili Mkuu? Mwenyezi Mungu Mkubwa Mkuu kainusuru Tanzania yetu kwa maovu mengi ya kutisha.
dah at last sasa tunapumua...manake duh ....kukaa mafichoni miaka mitano ilikuwa si mchezo
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…