Kwanini Hela imekuwa ngumu mtaani?

I agree with you, everything is imported mpaka bahasha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni aibuView attachment 2420328
πŸ˜‚
Bado hatujapata Kiongozi wa kutegua huo mtego. Wapo bize na kulamba asali na v8. China walipata bahati ya kuwa na Deng Xiaping ndio aliutegua huo mtego na ndio maana mpaka leo China ni taifa tajiri. Huko ulaya usa huo mtego waliutegua toka miaka ya 1700-1800 ndio maana mpaka leo hao jamaa ni matajiri kutokana na capitalism ideology.
 
Kweli mzunguko hamna, watu na vibiashara vyao huku mtaani utawaonea huruma, kila siku wanafungua na zinakufa ndan ya muda mfupi.
Juzi nikawasikia et mtaa huu una laana [emoji3][emoji3]
Illiteracy ya mtaani ,hapo utakuta wanaamini wamerogwa ,nao wanaenda kwa Kalimanzila kubeba matunguli huko
 
Hata mifumo ya kiserikali au hata ya kifedha na mabenki yamekaa kimfumo wa kulazimisha watu kuwa waagizaji na umachinga kuliko kuzalisha bidhaa na huduma.
 
Systematic poverty hii daah
alie kwenye mtumo kama kifaa lazima akione, wanaoendesha mfumo vipofu na Wana injoi.
Umaskini ni ukosefu wa mtu kuwa mzalishaji yaani ubunifu zero na sio kwamba rasilimali ndio shida...hiki KITU ni maksudi kipo ili kumaintain dominion over us.
 
Hata mifumo ya kiserikali au hata ya kifedha na mabenki yamekaa kimfumo wa kulazimisha watu kuwa waagizaji na umachinga kuliko kuzalisha bidhaa na huduma.
Na ndio kazi ipo hapo ,sasa .Akili inabidi itumike kufanya transformation hapo .
Ni nashangaa sana miaka 60 hii yote tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele
 
Hata mifumo ya kiserikali au hata ya kifedha na mabenki yamekaa kimfumo wa kulazimisha watu kuwa waagizaji na umachinga kuliko kuzalisha bidhaa na huduma.
Si ndio hapo , yaani resources ya ardhi ,maji iliyopo nchi hii ilitakiwa iwe ni fursa tosha ya kuondoa tatizo za ukosefu wa ajira na hiyo trade imbalance lakini zimebaki siasa tu ,miaka na miaka ,no real action .
Badala ya mabenki kutoa mikopo ya ununuzi wa mitambo ya uzalishaji wa bidhaa kwenye viwanda na kwenye kilimo .
Eti rais anahamasisha machinga kupewa mikopo , hii akili ya mtu mweusi ni giza kabisa
Hivi nchi
 
fact
 
Watu wako bize na kulamba asali na v8.[emoji23][emoji23]
Yaani hizo pesa wanazotumia kununua hayo magari na kufanya upumbavu wote ambao ni unnecessary huko serikalini ingekuwa ni mtaji wa kununua mitambo na kujenga miundo mbinu ya mamia ya viwanda na hata kuanzisha viwanda vya kuzalisha mitambo na vipuri
 
We acha tu nahivi maji hamna inazidi kuwa ngumu zaidi yaani sio poa.
 
kuna ukweli hapa
 
Yaani hizo pesa wanazotumia kununua hayo magari na kufanya upumbavu wote ambao ni unnecessary huko serikalini ingekuwa ni mtaji wa kununua mitambo na kujenga miundo mbinu ya mamia ya viwanda na hata kuanzisha viwanda vya kuzalisha mitambo na vipuri
Hii kitu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…