Kwanini Hela imekuwa ngumu mtaani?

Kwanini Hela imekuwa ngumu mtaani?

Si ndio hapo , yaani resources ya ardhi ,maji iliyopo nchi hii ilitakiwa iwe ni fursa tosha ya kuondoa tatizo za ukosefu wa ajira na hiyo trade imbalance lakini zimebaki siasa tu ,miaka na miaka ,no real action .
Badala ya mabenki kutoa mikopo ya ununuzi wa mitambo ya uzalishaji wa bidhaa kwenye viwanda na kwenye kilimo .
Eti rais anahamasisha machinga kupewa mikopo , hii akili ya mtu mweusi ni giza kabisa
Hivi nchi
Unajua wapi tungeanzia? Bwawa la Nyerere lingalitoa umeme wa uhakika lakini kwa bei ndogo ili bidhaa tutakazotengeneza hapa nchini ziwe rahisi. Usafirishaji wa Malighafi (SGR) kama nayo isingechakachuliwa ili uwe wa bei ndogo.
 
Hali ya maisha mtaani imekuwa ni tete kwa kweli. Mzunguko wa biashara uko chini sana.

Fedha kwa sasa haina thamani kutokana na bei ya bidhaa nyingi muhimu kupanda bei kupitiliza kiwango cha kawaida. Halafu kibaya zaidi haipatikani kirahisi! Ukiipata, inaisha kirahisi rahisi tu!!

Ukiondoa hiyo vita ya Urusi na Ukraine, kwa mtazamo wangu naona pia kitendo cha hii serikali ya huyu mama kuja na hi mitozo yao isiyo na kichwa wala miguu! Na yenyewe imechangia pakubwa sana kuyafanya maisha ya wananchi wa kawaida kuwa magumu.
 
Bongo inflation rate 4.7% na US rate 8.2%, hizi number mnazorushiwa na Kina Mwigulu sijui wanazitoa wapi, idara za serikali au viongozi bongo hawajui hata wanaongea nini, sitashangaa inflation rate kwa bongo inazidi 40%
 
Kwa mara ya kwanza tangu 2017 inflation rate imefikia 4.8% and expected to reach 4.9% at the end of this year. Hii ina maana gani

1. Nguvu ya manunuzi imepungua sana kwahiyo hakuna mzunguko mkubwa wa pesa
2. Tsh itaendelea ku-depreciate against other currencies
3. Nguvu za kiume itakuwa ni changamoto sababu ya ugumu wa maisha kwa vijana[emoji3]
4. Magonjwa ya akili yataongezeka sababu ya challenge za mfuko na lindi la majukumu
5. Unemployment rate itaendelea kuwa kubwa
6. Bidhaa za vyakula, usafiri na vinywaji hazitakamatika

Mungu tuvushe salama

Picha ya kwanza ni dollar against Tsh since year 2000

Picha ya pili ni inflation rate this yearView attachment 2420326View attachment 2420327
Mimi siamini pesa hipo kwa wanao tafuta na hakuna hali nzuri wala mbaya kwa nchi yetu hii tangu enzi za nyerere mpaka sasa walikuwepo na pia hata sasa wapo walalamishi lakini wanao fanikiwa wapo pia tena wengi cha msingi ni kuzidi kutafuta bila kukata tamaa, hali aitakuja badilika ata aje nani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tuna mzunguko mdogo sana wa hela. Na huo mzunguko mdogo pia mwingi inaisha kwenye kuagiza vitu nje kuliko kuzalisha bidhaa na huduma. Kiufupi sisi Tanzania tunaagiza sana kuliko kuuza nje. Lazima iwe ngumu. Yaani kila kitu tunaagiza sana[emoji23]. Sehemu iliyobakia ya mzunguko wa hela inaishia kwenye kodi na tozo. Ambazo wanalipwa wakandarasi toka nje wanaoagiza.


Tafuta data/taarifa ya trend ya uagizaji na uuzaji wa nje kwa miaka 5 mfululizo kisha angaliz bidhaa 20 zinazoagizwa na thamani yake na tunazo uza nje na kupata forex (fedha za nje) ndio utaelewa. [emoji23][emoji23]
Upo sahihi
 
[emoji23]
Bado hatujapata Kiongozi wa kutegua huo mtego. Wapo bize na kulamba asali na v8. China walipata bahati ya kuwa na Deng Xiaping ndio aliutegua huo mtego na ndio maana mpaka leo China ni taifa tajiri. Huko ulaya usa huo mtego waliutegua toka miaka ya 1700-1800 ndio maana mpaka leo hao jamaa ni matajiri kutokana na capitalism ideology.
Hiv Deng Xiaoping aliwezaje
 
Hali ya maisha mtaani imekuwa ni tete kwa kweli. Mzunguko wa biashara uko chini sana.

Fedha kwa sasa haina thamani kutokana na bei ya bidhaa nyingi muhimu kupanda bei kupitiliza kiwango cha kawaida. Halafu kibaya zaidi haipatikani kirahisi! Ukiipata, inaisha kirahisi rahisi tu!!

Ukiondoa hiyo vita ya Urusi na Ukraine, kwa mtazamo wangu naona pia kitendo cha hii serikali ya huyu mama kuja na hi mitozo yao isiyo na kichwa wala miguu! Na yenyewe imechangia pakubwa sana kuyafanya maisha ya wananchi wa kawaida kuwa magumu.
Hatari sana
 
Unajua wapi tungeanzia? Bwawa la Nyerere lingalitoa umeme wa uhakika lakini kwa bei ndogo ili bidhaa tutakazotengeneza hapa nchini ziwe rahisi. Usafirishaji wa Malighafi (SGR) kama nayo isingechakachuliwa ili uwe wa bei ndogo.
Bwawa la Nyerere lingekamilika kama ilivyopangwa, kisha SGR nayo ikawa networked kama ilivyokuwa imepangwa ingekuwa ni hatua kubwa sana za mwanzo mwanzo kujinasua kaa taifa.

Maana production ingekuwa na gharama ndogo, mizigo ingekuwa inatembea harakahaka within a country, nchi ambazo zinaingiza mizigo yake kupotia bandari ya Dar ingeongeza kiwango cha mizigo inayopita nchini....daah ngoja niishie hapa tu, kiufupi uchukuzi na uzalishaji vingelipuka kwa kiwango kikubwa sana.
 
Kweli mzunguko hamna, watu na vibiashara vyao huku mtaani utawaonea huruma, kila siku wanafungua na zinakufa ndan ya muda mfupi.
Juzi nikawasikia et mtaa huu una laana [emoji3][emoji3]
Akili ya mtu mweusi huwa ikikosa majibu inawazia muujiza kutoka katika matatizo.

Mfano biashara imekuwa ngumu au imekwama, wazo lake la kwanza ni kuwa amelogwa badala ya kusema atafute mbinu ya kusurvive.
 
Si ndio hapo , yaani resources ya ardhi ,maji iliyopo nchi hii ilitakiwa iwe ni fursa tosha ya kuondoa tatizo za ukosefu wa ajira na hiyo trade imbalance lakini zimebaki siasa tu ,miaka na miaka ,no real action .
Badala ya mabenki kutoa mikopo ya ununuzi wa mitambo ya uzalishaji wa bidhaa kwenye viwanda na kwenye kilimo .
Eti rais anahamasisha machinga kupewa mikopo , hii akili ya mtu mweusi ni giza kabisa
Hivi nchi
Na kwa idadi ya wamachinga iliyopo ni wazi wanategemea uagizwaji wa bidhaa ziwe ni za kitumba au mpya toka viwandani kuja kuziuza.
 
Kinachotusaidia watz sehemu kubwa ya bidhaa kama chakula tunapata direct kutoka shamba na hiyo inasaidia kushusha sehemu kubwa ya gharama za matumizi kama manunuzi ya bidhaa za matumizi ya familia.

Ila tungekuwa tunatumia 100% bidhaa za viwandani kama chakula kununuliwa supermarket nadhani by sasa watu wasiweza ku escape chochote na maisha yangekuwa magumu sana.

Kwa sasa life ni ngumu sana especially kwa watu wenye familia kubwa. Chakula kipo ila kimepanda bei kumaanisha mzigo wa kulisha familia unaongezeka kila siku.

Bidhaa za chakula cha msingi kama unga, maharage, mchele, mafuta ya kupikia, vinapopanda bei watu wanakuwa katika hali mbaya sana.

Kama jamii ya watanzania hebu tuje na wazo zuri la kuweza kutoka hapa kwa namna yoyote na kuweka mbinu kinga za kuzuia upumbavu na ushenzi kama huu kufanyika tena kwenye taifa letu pendwa.
 
Kwa mara ya kwanza tangu 2017 inflation rate imefikia 4.8% and expected to reach 4.9% at the end of this year. Hii ina maana gani

1. Nguvu ya manunuzi imepungua sana kwahiyo hakuna mzunguko mkubwa wa pesa
2. Tsh itaendelea ku-depreciate against other currencies
3. Nguvu za kiume itakuwa ni changamoto sababu ya ugumu wa maisha kwa vijana[emoji3]
4. Magonjwa ya akili yataongezeka sababu ya challenge za mfuko na lindi la majukumu
5. Unemployment rate itaendelea kuwa kubwa
6. Bidhaa za vyakula, usafiri na vinywaji hazitakamatika

Mungu tuvushe salama

Picha ya kwanza ni dollar against Tsh since year 2000

Picha ya pili ni inflation rate this yearView attachment 2420326View attachment 2420327
No 3 ni hatari. January inakuja. wenye watoto schools hata mshtuko hatuuoni
 
Kupanda vitu bei, ina maana vitu vimeadimika au vimekuwa vichache na mahitaji ni makubwa; cha kufanya kwa sasa kwa upande wa kilimo, kila mmoja ajitahidi angalau kulima ekari mbili za nafaka ili kuongeza wingi wa chakula.
 
Kupanda vitu bei, ina maana vitu vimeadimika au vimekuwa vichache na mahitaji ni makubwa; cha kufanya kwa sasa kwa upande wa kilimo, kila mmoja ajitahidi angalau kulima ekari mbili za nafaka ili kuongeza wingi wa chakula.
Shida ni kuexport kiwango kikubwa cha mazao kuliko uwezo wetu wa kuzalisha.
 
Hela ikiwa ngumu ktk taifa ndy uchumi utapanda .sababu watu watazidi kuzalisha maradufu jli kuitafuta pesa .lkn kwa Tz naona tuna relax kabc .hizi pigo zakutafuta hatuna !! [emoji848] sielewi vijana tunakwama wp
 
Back
Top Bottom