Kwanini heshima anayopewa FID Q na wabongo kwenye HipHop haitendei haki?

Kwanini heshima anayopewa FID Q na wabongo kwenye HipHop haitendei haki?

Mimi naomba nikurekebishe Fid Q ana tuzo nne za KTMA.

Ngoma ya mwanza mwanza ilimpa tuzo mbili ya wimbo bora na msanii bora wa hiphop mwaka sikumbuki ilikuwa mwaka gani.

Mwaka 2014 pia alichukua tuzo ya mtunzi bora wa mashairi ya hiphop na msanii bora wa hiphop.

Alishawahi kushiriki coke studio mwaka 2015.

Unapoanzisha thread uwe na uhakika na detail zako usitulishe matango pori.

Ni hayo tu.
Hata mm nilitaka kuandika hivi
 
Fid Q pia nadhani ashawahi kua recognized Coke studio mkuu
Yes na kuna kipindi aliitwa coke studio akawa ana ratina nyingine wakamuuliza ni nani anahisi anaweza mreplace akamtaja joh makini ndipo wakamchukua joh makini
 
Huyo FD q ni bonge la mshamba hajielewi alipotea kuingia kuipigia debe Ccm
Tukubari kukubari kutofautiana.
Kama tunalia kuwa serikali ya ccm inakandamiza demokrasia huku wakati huo huo tukiona kuwa ni kosa kwa mtu kuunga mkono chama tawala sasa hapo tunatofautiana vipi na kile ambacho wanafanya ccm?
Au na sisi tunataka mfumo wa vyama vingi ufutwe pale ambapo chama pinzani kitachukua nchi?
 
watu wa kusikiliza hiphop ya fid wana majukumu,ni watu wa 1988 kurudi nyuma,kizazi chenye shangwe na muziki kwa sasa ni cha 1990 kuja mbele,bill Nas hafanyi hiphop,tusidanganyane
shikamoo"" nilishawahi kuongea point kama hii kumuhusu juma nature na nyimbo zake alizoziachia "".....baadhi ya watu wacha wanipinge ""...
 
Mimi hata sikukumbukibwewe ni nani na hayo ya kule unakosema ni wapi.

Nabishana na watu hamsini kwa siku.
Siangalii jina, naangalia hoja.

Na wala sijasema kuna bifu. Mimi bifuvsitumii kwa sababu ni vegetarian.

Shwari kama zero entropy equilibrium.
Aiseeee hahaha ""
 
Mnamzungumzia fid huyu huyu mvaa mawigi?? Au fid wa 'nnapopita mtaani'? Kuna tofauti kubwa
 
Back
Top Bottom