Kwanini hii ndege ya serikali imeitwa Musoma na sio jina la mji mwingine wa hapa Tanzania?

Kwanini hii ndege ya serikali imeitwa Musoma na sio jina la mji mwingine wa hapa Tanzania?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii ndege ya serikali imeandikwa musoma.
So maybe help me to understand kwa nini iitwe musoma na sio Iringa,kasulu,sumbawanga,ilala au mji mwingine wowote?
Asante
Screenshot_20241120_034414_Facebook.jpg
 
Hii ni Precision Air, ni shirika binafsi.
Kila ndege wameweka jina la mahali/sehemu kulingana na walivyoona wao.
Zipo nyingi kama; Kilimanjaro, Bagamoyo, Dar es Salaam, Ngorongoro n.k
 
Back
Top Bottom