Kwanini hisa zA CRDB zimeshuka thamani?

Kwanini hisa zA CRDB zimeshuka thamani?

Kushuka kwa dhamani ya hisa za CRDB zimesababishwa na kuongezeka kwa hisa zilipelekwa sokoni kwa ajili ya kuuzwa,ukilinganisha na mahitaji halisi ya hisa zinazohitajika sokoni!(Refer to the law of demand and supply in determination of price)!Hili ni zao tu,cha kujiuliza hapa ni kwamba,kwanini watu wengi wamepeleka hisa zao sokoni?
Kulingana na utafiti mdogo nilioufanya (As financial analyst) ni kwamba hivi karibuni CRDB wametoa taarifa zake za fedha kwa robo ya pili ya mwaka,ambazo kwa upande wa faida ,benki imepata faida ya Tshs 20.04 bilioni ukilinganisha na Tshs 16.51 bilioni iliyoipata kwa robo ya mwaka iliyotangulia,hii ni sawa na ongezeko la aslimia 24.Ukija kuangalia suala la mikopo ambayo hailipwi kumekuwa na ongezeko kubwa kutoka Tshs 124.169 bilioni mpaka 139.307 bilioni jambo ambalo si zuri kwa kampuni (Source:CRDB published information for second quarter).
Kwa kuwa wanahisa kwa kushirikiana na financial analysts na brokers, huwa wapo very sensitive na hizi taarifa za kifedha wengi wameshauriwa kuuza hiza zao kwa kuwa benki imeonyesha uzembe mkubwa katika ukusanyaji wa madeni,na hivyo kuhatarisha its going concern(Uwepo wake kwa siku zijazo).

Naomba kuwasilisha wanabodi!
TUKUTUKU naomba jibu na wanabodi wengine tafadhali.
Kama mikopo ambayo hailipwi imeongezeka na still benki imepata faida, hiyo faida imetoka wapi ukizingatia one of the core business and income ya any bank ni interests from loans?
 
Last edited by a moderator:
TUKUTUKU naomba jibu na wanabodi wengine tafadhali.
Kama mikopo ambayo hailipwi imeongezeka na still benki imepata faida, hiyo faida imetoka wapi ukizingatia one of the core business and income ya any bank ni interests from loans?
Mkuu mikopo isiyolipika inaweza ikawa 10% ya mikopo yote iliyotolewa na CRDB(Kwa mfano),faida inaweza kupatikana kwenye asilimia 90% ya madeni yanayolipika!
Mkuu sijafanya uchunguzi kujua ni asilimia ngapi ya madeni yasiyolipika ukilinganisha na madeni yanayolipika,lakini ni imani yangu kuwa madeni yasiyolipika ni sehemu ndogo ya mikopo yote iliyotolewa na CRDB!
Kwa kuongezea Benki inavyanzo vingi vya mapato tofauti na utoaji wa mikopo kwa mfano!
*Utozaji wa huduma za kibenki (Bank charges).
*Uwekezaji kwenye hati fungani za Serikali (Government Bonds &Treasury bills).
*Acceptance of bill of exchange na vyanzo vingine vingi!
 
Mkuu mikopo isiyolipika inaweza ikawa 10% ya mikopo yote iliyotolewa na CRDB(Kwa mfano),faida inaweza kupatikana kwenye asilimia 90% ya madeni yanayolipika!
Mkuu sijafanya uchunguzi kujua ni asilimia ngapi ya madeni yasiyolipika ukilinganisha na madeni yanayolipika,lakini ni imani yangu kuwa madeni yasiyolipika ni sehemu ndogo ya mikopo yote iliyotolewa na CRDB!
Kwa kuongezea Benki inavyanzo vingi vya mapato tofauti na utoaji wa mikopo kwa mfano!
*Utozaji wa huduma za kibenki (Bank charges).
*Uwekezaji kwenye hati fungani za Serikali (Government Bonds &Treasury bills).
*Acceptance of bill of exchange na vyanzo vingine vingi!

asante mkuu
 
May be wana run kwa hasara na demand yake ikishuka lazima price nayo ishuke
 
Labda benki ina expand, na kama ndio hivyo kweli basi mtegemee neema baadae kwa wale wenyewe moyo na subra.

Hii inamaanisha fedha nyingi wanawekeza zaidi ndani ya benki ili baadae wanahisa waje kufaidika mara dufu.
 
Labda benki ina expand, na kama ndio hivyo kweli basi mtegemee neema baadae kwa wale wenyewe moyo na subra.

Hii inamaanisha fedha nyingi wanawekeza zaidi ndani ya benki ili baadae wanahisa waje kufaidika mara dufu.

hii inapelekea hisa kushuka mkuu? kwanini wasiongeze thamani ilikupata fedha nyingi halafu ndio wajenge au waboreshe zaidi benki?
 
hii inapelekea hisa kushuka mkuu? kwanini wasiongeze thamani ilikupata fedha nyingi halafu ndio wajenge au waboreshe zaidi benki?
Mkuu thamani ya hisa is determined by the forces of demand and supply!Kwa hiyo hapa hakuna suala la kupanga thamani ya hisa!
 
Hisa ni mkusanyiko wa mtaji ambao watu wamechanga na kumpa kampuni au shirika lolote la uwekezaji nchini. Alafu faida inayopatikana inagawanywa kwa wote waliocha na kila mmoja anapata kwa kadiri alivyo changa/mtaji alioweka
 
Mkuu thamani ya hisa is determined by the forces of demand and supply!Kwa hiyo hapa hakuna suala la kupanga thamani ya hisa!

Let us go further n say,bei ya hisa inakuwa determined by all the information available in the market...e.g,hisa za manchester united zilishuka bei mara baada ya taarifa za kustaaf kwa Sir Alex kufahamika,forces za supply n demand hazikusabisha moja kwa moja,but simply the information that was available...
That is Finance...for more details,read on Efficient market hypothesis.
 
Kushuka kwa dhamani ya hisa za CRDB zimesababishwa na kuongezeka kwa hisa zilipelekwa sokoni kwa ajili ya kuuzwa,ukilinganisha na mahitaji halisi ya hisa zinazohitajika sokoni!(Refer to the law of demand and supply in determination of price)!Hili ni zao tu,cha kujiuliza hapa ni kwamba,kwanini watu wengi wamepeleka hisa zao sokoni?
Kulingana na utafiti mdogo nilioufanya (As financial analyst) ni kwamba hivi karibuni CRDB wametoa taarifa zake za fedha kwa robo ya pili ya mwaka,ambazo kwa upande wa faida ,benki imepata faida ya Tshs 20.04 bilioni ukilinganisha na Tshs 16.51 bilioni iliyoipata kwa robo ya mwaka iliyotangulia,hii ni sawa na ongezeko la aslimia 24.Ukija kuangalia suala la mikopo ambayo hailipwi kumekuwa na ongezeko kubwa kutoka Tshs 124.169 bilioni mpaka 139.307 bilioni jambo ambalo si zuri kwa kampuni (Source:CRDB published information for second quarter).
Kwa kuwa wanahisa kwa kushirikiana na financial analysts na brokers, huwa wapo very sensitive na hizi taarifa za kifedha wengi wameshauriwa kuuza hiza zao kwa kuwa benki imeonyesha uzembe mkubwa katika ukusanyaji wa madeni,na hivyo kuhatarisha its going concern(Uwepo wake kwa siku zijazo).

Naomba kuwasilisha wanabodi!

Bravo.
 
Huyu atakuwa amezoea kiingereza, hata mimi nimeshamwona . Haya subiri huyo muingereza wako 😡
 
Let us go further n say,bei ya hisa inakuwa determined by all the information available in the market...e.g,hisa za manchester united zilishuka bei mara baada ya taarifa za kustaaf kwa Sir Alex kufahamika,forces za supply n demand hazikusabisha moja kwa moja,but simply the information that was available...
That is Finance...for more details,read on Efficient market hypothesis.

hii EMH ni ngumu kama hujapata mtaalam wakukusaidia kuielewa aisee..
 
Back
Top Bottom