Kwanini historia ya Zanzibar ya kweli haisomeshwi?

Kwanini historia ya Zanzibar ya kweli haisomeshwi?



History ya zenji chungu.
1957 Nyerere alianzisha chama chake huko kilichopindua. Msikilize Ali Muhsin Barwani (Waziri wa mambo ya nje enzi hizo kabla ya Mapinduzi)
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
Historia ya mapinduzi ya Zanzibar inatakiwa kuandikwa upya.

Historia ya Uhuru wa Zanzibar toka Uingereza iadhimishwe pia.
 
Mkuu acha kuzunguka mbuyu katika kuwatetea waarabu waliokuwa wafadhili wa utumwa.
Wafadhili wa utumwa hawatarudi tena Zanzibar wala pande hizi za Afrika.
Kama mzee Mandela alivyosema alipotoka gerezani na kupata urais wa Afrika Kusini....

Mandela , May 10th 1994
"Never, never and never again shall it be that this beautiful land will again experience the oppression of one by another and suffer the indignity of being the skunk of the world."

Zanzibar baada ya 1964........Never, and never again will the arabs be left to return.
Wanarudi taratibu wakitokea Oman.
 
Back
Top Bottom