Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
History ya zenji chungu.
1957 Nyerere alianzisha chama chake huko kilichopindua. Msikilize Ali Muhsin Barwani (Waziri wa mambo ya nje enzi hizo kabla ya Mapinduzi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia ya mapinduzi ya Zanzibar inatakiwa kuandikwa upya.Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
Wanarudi taratibu wakitokea Oman.Mkuu acha kuzunguka mbuyu katika kuwatetea waarabu waliokuwa wafadhili wa utumwa.
Wafadhili wa utumwa hawatarudi tena Zanzibar wala pande hizi za Afrika.
Kama mzee Mandela alivyosema alipotoka gerezani na kupata urais wa Afrika Kusini....
Mandela , May 10th 1994
"Never, never and never again shall it be that this beautiful land will again experience the oppression of one by another and suffer the indignity of being the skunk of the world."
Zanzibar baada ya 1964........Never, and never again will the arabs be left to return.
Tuambie walipo, mapinduzi 64' itakuwa cha mtoto.Wanarudi taratibu wakitokea Oman.
Coming for what unmaintained places and houses fallingWanarudi taratibu wakitokea Oman.