Kwanini hizi Jogging Clubs zinafanyiwa sana 'Promo' Maredioni? Je, kuna yaliyojificha nyuma ya ufanyaji Mazoezi?

Kwanini hizi Jogging Clubs zinafanyiwa sana 'Promo' Maredioni? Je, kuna yaliyojificha nyuma ya ufanyaji Mazoezi?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuna Jogging Club moja mahala fulani Mwenyekiti na Katibu wanatuhumiana kwa Mmoja kumzidi Mwenzake idadi ya Wanawake aliyolala nao.

Na katika Jogging Club hiyo hiyo Wanawake wakikimbia muda Wote Wanakuwa Wananuniana kwani wapo ambao Wanawaibia Wenzao Waume na Wapenzi Wao.

Na katika Jogging Club hiyo hiyo Mweka Hazina anashutumiwa kwa Kunenepa kwa Kasi / Ghafla kuliko alivyokuja ambapo alikuwa ni Mbau Mbau kama Mlingoti wa Bendera ya Taifa.

Nitapenda zaidi kujua ni kwanini kuna Mhimizo mkubwa wa Jogging Clubs katika kutaka Watu Kujiunga nazo kwani kama ni Suala la kufanya Mazoezi unaweza kufanya hata ukiwa tu Chumbani au Kibarazani Kwako na bado ukawa Fiti kabisa Kiafya.
 
Ni wito wa kuvutia mademu wazuri na wanaume warembo, mbinu ya kusogeza ndege jirani na ngome na utukufu wake
 
Huko wake kwa waume ni kunyanduana sana tu
Kama mke/mme wako yuko basi
Huko ni mwendo kugegedana tu

Ova
 
Niliwahi kuwa Mwanachama wa Jogging Club moja ilikuwa inaitwa Bamboo Jogging Club pale Kinondoni Makaburini kwenye Bar ya Marehemu John Fedha,yaani ilikuwa ni kukulana member kwa member kwa kwenda mbele[emoji1787]
 
Back
Top Bottom