Kwanini Hospitali ya Maweni-Kigoma hailipi pela za kujikimu kwa waajiriwa wapya?

Kwanini Hospitali ya Maweni-Kigoma hailipi pela za kujikimu kwa waajiriwa wapya?

Xi jiping

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2021
Posts
628
Reaction score
920
Wakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu. Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.

Ndo kusema ukiwa Kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.

AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.

791EBCD9-E2AC-4914-B057-AC6373B84878.jpeg
 
Kuna waajiriwa wapya wa Tume ya utumishi wa Mahakama nao wako pembezoni pia hawajalipwa fedha ya kujikimu!
Inasikitisha mtu miezi inaenda hajawekewa Hela ya kujikimu unajiuliza anaishije huyu mtu huko!
 
Kuna waajiriwa wapya wa Tume ya utumishi wa Mahakama nao wako pembezoni pia hawajalipwa fedha ya kujikimu!
Inasikitisha mtu miezi inaenda hajawekewa Hela ya kujikimu unajiuliza anaishije huyu mtu huko!
Nao wako kigoma??
 
Kuna waajiriwa wapya wa Tume ya utumishi wa Mahakama nao wako pembezoni pia hawajalipwa fedha ya kujikimu!
Inasikitisha mtu miezi inaenda hajawekewa Hela ya kujikimu unajiuliza anaishije huyu mtu huko!
Yaan hii mikoa ambayo watu wanaikimbia ilibidi iwe kipau mbele
 
Watakuja Kukanusha Yote Haya Hivi Yule Waziri Wa Kugalagala Akimshukuru SSH
Ajutahidi Walipwe Pesa, Watu Wamechoka Kula Migebuka Na Mikate Hapo Kwa Bella
 
Watakuja Kukanusha Yote Haya Hivi Yule Waziri Wa Kugalagala Akimshukuru SSH
Ajutahidi Walipwe Pesa, Watu Wamechoka Kula Migebuka Na Mikate Hapo Kwa Bella
hiyo migebuka unavuaje labda kama unaweza kuogelea uwr unashinda ufukweni una chota na net mbovu
 
hiyo migebuka unavuaje labda kama unaweza kuogelea uwr unashinda ufukweni una chota na net mbovu
Viongozi Wetu Jau Sana
Hapo Maweni Napajua Sana, Kama Huna Cash Unaishi Kama Ng'ombe Aliyekatika Mkia
 
Wakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu!
Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.
Ndo kusema ukiwa kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.

AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.
Unailinganisha Maweni na Hospitali gani? MNH?
 
Wahusika kama mpo humu wasaidieni watumishi wenu hasa hiyo hospital ya Maweni Kigoma.
Ina ubabaishaji mwingi
Watu hawalipwi likizo na madai mengine Kwa wakati.
Wizara ya afya imulikeni hyo hospital inalalamikiwa na watumishi wengi wanaofanya KAZI hapo.
Kuna vingunge hapo wanafanya KAZI Kwa mazoea.
 
Wakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu!
Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.
Ndo kusema ukiwa kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.

AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.
kafieni mbele huko na ajira zenu za mchongo .
 
Back
Top Bottom